Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 664
mhh nmefuatiliaa huu uzi nakutana na malalamiko ya watu kutapeliwa ...wengine janjajanja tu....hawana lolote..na wewe ambae una ujuzi kwa nini usiuweke hapa hadharani??Kila mmoja anufaike???Acheni ubinafsi huo watanzania