utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 1,033
- 900
Hichi kitu kinaniboa sana sema kwa mimi naona ikifika saa nane usiku nazima nawasha upya ndio spidi inakaa kwenye 1MBps.Ahahaha pole mkuu. Mwanzoni walikuwa wananila hivyohivyo sema nmegundua kasehemu nikiweka mifi yangu bundle nalifaidi balaa..!