MzaramoTz
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 1,850
- 3,041
Voda wameharibu kazi aiseeh bundle zao za chuo zimekua mara mbili ya gharama yaani wamepandisha asilimia 100 ngoja tuendelee kukomaa na Magumashi[emoji28]
Vipi kuhusu Dar Supa Uni mkuu...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voda wameharibu kazi aiseeh bundle zao za chuo zimekua mara mbili ya gharama yaani wamepandisha asilimia 100 ngoja tuendelee kukomaa na Magumashi[emoji28]
Mimi nikiongelea ubora wa Internet namaanisha nikitumia Vodacom ikiwa vibaya spidi ni 30 Mbps ikiwa vizuri inacheza 40-60 Mbps. Lakini kwa Ttcl spidi ni 3 Mbps ikipanda sana tena kwenye saa 9 za usiku inafika 11 Mbps <-- hizi spidi ni zakijinga kwa mtandao wa 4G. Wewe kama unaridhishwa na hizi spidi ambazo unaweza pata kwenye mitandao ya HSPA+ kama halotel au hata airtel basi ni wewe au labda kwako unapata spidi nzuri zaidi hatuwezi jua.
Pakua hii app kupima https://play.google.com/store/apps/details?id=org.zwanoo.android.speedtestHebu nielekeze jinsi ya kuangalia speed ya mtandao mkuu. Thanks.
Voda wameharibu kazi aiseeh bundle zao za chuo zimekua mara mbili ya gharama yaani wamepandisha asilimia 100 ngoja tuendelee kukomaa na Magumashi[emoji28]
Cha chuo wanadai kitambulisho na sisi shule tushasahauWakuu tafuteni Ttcl ya chuo iko vizuri sana kama una simu ya 4G spidi nzuri na Mb za kumwaga.
Fungua PM yakoCha chuo wanadai kitambulisho na sisi shule tushasahau
0765663822nahitaji unganishwa nicheki kwa namba hii 0753039955
Na bando linaisha kwa spidi ya 4gDaaah Vodaaaaa na mimi wameniweza now bundle la chuo limepanda kwa 100%.
Kwelii yajayo yanafurahisha.Na bando linaisha kwa spidi ya 4g
Hiyo Inapatikana Dar pekee nadhani sisi wa mikoani hatufaidi😀Vipi kuhusu Dar Supa Uni mkuu...?
VodaWakuu ni mtandao gani una vifurushi vya SMS vinavyojitegemea vya bei nafuu kwa mwezi ?
Ahsante mkuuVoda
*149*01#
Chagua namba 8 ( sms)
Tsh 2000/= kwa mwezi
Airtel
*149*99#
Chagua namba 8 ( Jiachie sms)
Tsh 1000 kwa mwezi
Hii kwa sasa kama upo mjini ni afadhari maana Voda za chuo zimekuwa juu etisifahamu mkuu kuhusu hili, anaetumia atujuze zaidi
Nimesikia pia kwenye radio, halotel sasa hivi unapata vifurushi vya chuo bila kuwa na line ya chuo, unatumia halopesa.
Unapiga *150*88# kisha unachagua option ya 3 kuvipata.
tiGO sms za mwezi ni 1500 sms 10000Ahsante mkuu
Ngoja nitafute line ya airtel
Wanapromote halopesa au siyoHalafu kina ziada ya mb100. Unapewa 500mb
While mwenye line ya chuo anapewa 400mb akijiunga kawaida.
Nadhani...Wanapromote halopesa au siyo