kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Hivi kuuliza salio la ttcl muongozo wake upo vipi kwa vifurushi vya chuoNi nini maana ya Roaming mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuuliza salio la ttcl muongozo wake upo vipi kwa vifurushi vya chuoNi nini maana ya Roaming mkuu?
Utaenda menu yao ya kawaida *148*30#Hivi kuuliza salio la ttcl muongozo wake upo vipi kwa vifurushi vya chuo
Asante mkwawaUtaenda menu yao ya kawaida *148*30#
Kisha option ya 9 kama sijakosea ya kuangalia salio, ndani utakuta option za kuangalia salio la vifurushi mbalimbali.
Usiku park ipoje?
Nimekupata,Mkuu ndio hucho cha saa 6 hadi 12. 500 unapata 1Gb.
1500 unapata 10Gb saa 6 usiku hadi 12 Asubuhi.
Cha unlimited kile ni usanii mtupu eti wameandika speed kubwa lakini hamna kitu.Ukilipia shilingi 1500 za kitanzania unapewa 10gb za kutumia usiku kuanzia saa 6 mpaka 12 asubuhi.
Ila kipo bora zaidi cha unlimited. Kwenye offer maalumu.
Roaming is a wireless telecommunication term typically used with mobile devices. It refers to the mobile phone being used outside the range of its home network and connects to another available cell network.Ni nini maana ya Roaming mkuu?
Yah kwenye mabano wameandika unlimited, ngoja nitakijaribu na mimi nione.Cha unlimited kile ni usanii mtupu eti wameandika speed kubwa lakini hamna kitu.
Ni afadhali ununue hicho cha 1500.
Kinakuwa slow sana...Yah kwenye mabano wameandika unlimited, ngoja nitakijaribu na mimi nione.
Umei update mpaka latest version?Wakuu samahani Mimi Nina hii Firefox imekuwa slow sana nifanyeje?
Tumia Halotel kwa sasa hamna haja ya kuwa na line ya chuo.Line yoyote unaweza kununua kifurushi cha chuo ukijiunga na Halopesa.Hawa voda hawana busara coz me nilikuwa na line ya chuo... nkashangaa wamenitoa.
Mbona tigo na halotel hawakukata.
Vodacom n mtandao wa OVYOOO haumsaidii mtanzania wa kawaida.
Sitak kusikia habar za vodacom pumbav
kivipi??Tumia Halotel kwa sasa hamna haja ya kuwa na line ya chuo.Line yoyote unaweza kununua kifurushi cha chuo ukijiunga na Halopesa.
Jiunge na Halopesa kwenye line yako.Kwenye menu ya Halopesa chagua namba 3 kununua kifurushi cha chuo.kivipi??
Mkuu ngoja nijaribuUmei update mpaka latest version?
Chief nahitaji MB za halotel kwa mwezi kwa kifurushi cha chuo muongozo tafadhaliUmei update mpaka latest version?
Gb 4 kwa 10,000 kwa muono wangu sio kifurushi kizuri. Ni vyema ununue vya wiki mb 900 kwa shilingi 1,000 ambavyo vitakuja kama GB9 kwa 10,000 ile ile.Chief nahitaji MB za halotel kwa mwezi kwa kifurushi cha chuo muongozo tafadhali
Umeona eeh Nilijua tatizo ni simu yang kumbe tatizo ni aina ya kifulushi walicho kiweka.Cha unlimited kile ni usanii mtupu eti wameandika speed kubwa lakini hamna kitu.
Ni afadhali ununue hicho cha 1500.