Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,505
- 5,715
Itabidi nijisogeze huko taratibu,maana walianza Tigo nikawakimbia nikaenda Voda, napo wamenikimbiza....Ngoja nisogee huko sasaNadhani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi nijisogeze huko taratibu,maana walianza Tigo nikawakimbia nikaenda Voda, napo wamenikimbiza....Ngoja nisogee huko sasaNadhani...
Mbona hamueleweki. Wanatoaje sasa ?!Angalia pia tigo kama ina speed tafuta line ya zantel (wanatumia mnara mmoja hawa) utapata 8Gb kwa 1500 usiku.
Pia halotel wanatoa 10GB kwa 1500
Ukilipia shilingi 1500 za kitanzania unapewa 10gb za kutumia usiku kuanzia saa 6 mpaka 12 asubuhi.Mbona hamueleweki. Wanatoaje sasa ?!
Usiku park ipoje?Halotel wana kifurushi cha night kinaitwa usiku park piga *148*66#
Pia wana offer ilikuwa tangu mwezi wa ramadhani unlimited internet kuanzia saa 6 usiku hadi saa 12 asubuhi kwa 1000.
Ninayo line ya halotel sijaona option ya SMS mkuutiGO sms za mwezi ni 1500 sms 10000
Halotel sms za mwezi ni 1000 sms 5000
Shukran umesaidia wengiNimesikia pia kwenye radio, halotel sasa hivi unapata vifurushi vya chuo bila kuwa na line ya chuo, unatumia halopesa.
Unapiga *150*88# kisha unachagua option ya 3 kuvipata.
Piga *148*66# Kisha chagua namba 4. Mitandao yote, then chagua namba tano SMS bando.Ninayo line ya halotel sijaona option ya SMS mkuu
Piga *148*66# Kisha chagua namba 4. Mitandao yote, then chagua namba tano SMS bando.
Mkuu R kama hiiWakuu Nina lakini ya ttcl baada ya kuweka hapa kwenye data naona herufi (r) iliyo ndani ya duara naomba muongozo wa kuiondoa hiyo herufi
Somehow is cheap!
Mimi naweza kukusaidia kuipataJamani mimi nahitaji line ya chuo ya TTCL,kuna yeyote anaeweza kunisaidia hapa?
Mimi nahitaji TTCL tu!Mimi naweza kukusaidia kuipata
Voda
Tigo
TTCL
Nitakupatia zipo za chuo. Nimekutumia PMMimi nahitaji TTCL tu!
Mikumi ndiyo kama hiyo uliyoonyeshaMkuu R kama hiiView attachment 881791
Utakiwi kutoa iyo [emoji2400](Roaming)iko ivi ttcl maeneo mengi ya nnchi yetu kwa sasa wanatumia minara ya tigo,hata mimi hiyo R inaonekana hapo ni kwa ajili natumia zantel,zantel nao wanatumia minara ya tigo kwahiyo iyo Roaming inapatikana kwenye setting tu ya simu yako ukiiweka off network ya simu yako nayo itapotea ivyo ndo navyoelewa wataalamu watakuja ongezea nyama kuhusu iyo RoamingMikumi ndiyo kama hiyo uliyoonyesha
Ni nini maana ya Roaming mkuu?Utakiwi kutoa iyo [emoji2400](Roaming)iko ivi ttcl maeneo mengi ya nnchi yetu kwa sasa wanatumia minara ya tigo,hata mimi hiyo R inaonekana hapo ni kwa ajili natumia zantel,zantel nao wanatumia minara ya tigo kwahiyo iyo Roaming inapatikana kwenye setting tu ya simu yako ukiiweka off network ya simu yako nayo itapotea ivyo ndo navyoelewa wataalamu watakuja ongezea nyama kuhusu iyo Roaming