Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

nahitaji unganishwa nicheki kwa namba hii 0753039955
 

Ttcl tabata inazingua sana ipo very slow
 
Tabata ttcl mbona iko VIZURI TU ndo Mimi naitumia
Mimi nikiongelea ubora wa Internet namaanisha nikitumia Vodacom ikiwa vibaya spidi ni 30 Mbps ikiwa vizuri inacheza 40-60 Mbps. Lakini kwa Ttcl spidi ni 3 Mbps ikipanda sana tena kwenye saa 9 za usiku inafika 11 Mbps <-- hizi spidi ni zakijinga kwa mtandao wa 4G. Wewe kama unaridhishwa na hizi spidi ambazo unaweza pata kwenye mitandao ya HSPA+ kama halotel au hata airtel basi ni wewe au labda kwako unapata spidi nzuri zaidi hatuwezi jua.
 
 
 
Voda wameharibu kazi aiseeh bundle zao za chuo zimekua mara mbili ya gharama yaani wamepandisha asilimia 100 ngoja tuendelee kukomaa na Magumashi[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…