Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hiyo gb 10 unapataje ndugu kwenye TTCL?
1513221943344.jpg
1513221974369.jpg
1513221909197.jpg
 
Washaanza kuboa hawa Airtel naona wanafanya nyendo za Tigo kupunguza mb's
Naona wamezipunguza kweli kweli yani duuh, toka 2GB kwa 1000 kwa siku tatu hadi 1GB kwa 2000 kwa siku tatu kweli vyuma vimekaza ndio maana wanataka wauze kampuni.
 
Naona wamezipunguza kweli kweli yani duuh, toka 2GB kwa 1000 kwa siku tatu hadi 1GB kwa 2000 kwa siku tatu kweli vyuma vimekaza ndio maana wanataka wauze kampuni.
umejaribu kuunga na airtel money kisha ofa kabambe (namba 6)
 
umejaribu kuunga na airtel money kisha ofa kabambe (namba 6)
Yes Chief huwa nanunua kwa airtel money ndio nimeshangaa vifurushi vimebadilika, ila ukiingia kwa menu hii *149*81*4# then namba 4 ndio kuna cha 1000 kwa 1GB plus hzo sms na dakika tofauti na kule kwenye menu ya airtel money.
 
Back
Top Bottom