Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Hii october ikiisha ttcl badowananizingua nadaka hii fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii october ikiisha ttcl badowananizingua nadaka hii fasta
Hapana, 5G bado haijafika eneo langu.5G ina piga fresh eneo lako?
Hii october ikiisha ttcl badowananizingua nadaka hii fasta
Kabisa Mkuu hata mimi nilitaka mwisho qa mwezi niende na kifurushi hichoHapana, 5G bado haijafika eneo langu.
View attachment 2770904
=
View attachment 2770915
- Inakidhi mahitaji.
- YT: 1440p bila shida
Mimi nimechukua cha 70k mkuu, 10Mbps, natumia mimi, wife na laptop.... Speed ni nzuri, kustream 1080p ni smooth, huko insta na tiktok video zinaplay smoothly..Hio speed ulikua unapata nikutoka kwenye kifurushi Cha 70k?
Maana yangu imeisha Jana najiuliza kujiunga hicho Cha 70k au niendelee na cha 115k
Mkiwa na wadau mkachukua speed kubwa ni mzuka sanaKabisa Mkuu hata mimi nilitaka mwisho qa mwezi niende na kifurushi hicho
Ila wadau nao share nao wameamua kuchangia so itanibidi niunge cha 110K
Kuna kitu nime observe, japokuwa kifurushi ni shared lakini kuna muda wanakuzidishia speed.
Kuna muda nilikuwa napata download speed hadi ya 8.9MB
Router wameziwekea port ya type c pia... so unaweza tumia hata chaji ya simu..Nilitaka tu kujua aina gani ya powerbank inaweza ku power hizo router, volt 7 na Amps 2 ina maana hata hizi fast charging za 18W za kina Xiaomi zinaweza. Kama unajiweza unaweza ukaongeza hio capacity hadi 30,000mah let's say unaenda field hakuna umeme.
Powerbank inaingia hapo type C? Ama ni port tu ya dataRouter wameziwekea port ya type c pia... so unaweza tumia hata chaji ya simu..
Ubaya wa hizi router hazina port ya type c, na zenyewe wangeziwekea port ya type c wangetisha sana..
View attachment 2770984
HapanaPowerbank inaingia hapo type C? Ama ni port tu ya data
Hapa pagumu bado kupata hizo waya.Hapana
Wire wa powerbank ni kama power cable ya Router
Yani kama adapter ya laptop ya accer
Powerbank haiingiliani na port ya type c ya router...Powerbank inaingia hapo type C? Ama ni port tu ya data
Kwa coverage nzuri na uhakika Basi voda inafaa Maana haina longo longo, Ukiwa Unataka cheap Basi airtel ni nzuri kwako.Nishachanganyikiwa hapa
Nawaza airtel ama voda..
Bado sina jibu
Sio cheap tu bali cheap yenye great package na high speedKwa coverage nzuri na uhakika Basi voda inafaa Maana haina longo longo, Ukiwa Unataka cheap Basi airtel ni nzuri kwako.
Airtel kidogo wako serious, wanasambaza 5G kwa speed sio kama voda..Kwa coverage nzuri na uhakika Basi voda inafaa Maana haina longo longo, Ukiwa Unataka cheap Basi airtel ni nzuri kwako.
Mkuu TV haikwami kwami?Unatumia android tv box gani?
Nimewapenda Airtel kwenye mfumo wao wa malipo.Airtel kidogo wako serious, wanasambaza 5G kwa speed sio kama voda..
Pia voda wanakulazimisha ulipie kila mwezi, usipolipa wanakuwekea deni, siku ukija kulipa unaanzia mwezi ambao hukulipia, airtel hawana limit, ukikwama hawana neno.
Pia airtel kidogo wako cheap, 30Mbps ni 110k, while voda 30Mps wanauza 120k.
Na nimewapenda ni wasikivu hawa Airtel, ule ushauri wetu wa kugawa router hata sehemu zenye 4G waliusikikiza na ndio maana leo hii tunazo, ila lengo ilikuwa ni maeneo yenye 5G...Nimewapenda Airtel kwenye mfumo wao wa malipo.
Hakuna haja ya kulazimishana siku nikijiskia kulipia nalipa na kutumia.
Yale maswala ya kuandikiana madeni kwenye huduma ambayo sijatumia ni aina mpya ya unyonyaji.
Ila hio sio 5G mkuu, ni 5Ghz yaani wifi yenye speed ya gigabit kupanda. Wanaandika tu 5G hapo.Na nimewapenda ni wasikivu hawa Airtel, ule ushauri wetu wa kugawa router hata sehemu zenye 4G waliusikikiza na ndio maana leo hii tunazo, ila lengo ilikuwa ni maeneo yenye 5G...
Kinachonifurahisha ni kwamba pathway zote za 4G na 5G zinapiga kazi vzr tuu[emoji736]
View attachment 2771315
Nilitaka kumaanisha hivi mkuu[emoji2958]Ila hio sio 5G mkuu, ni 5Ghz yaani wifi yenye speed ya gigabit kupanda. Wanaandika tu 5G hapo.