Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Uzuri wa hizo bundle ni economical ila ubaya wake hazina transparent kwakuwa mitandao ya simu bado inataka kudidimiza wateja wake, uhakisia wa namna mitandao ya simh ina-operate its scary ☹️
 
Habari wakuu,naomba muongozo nahitaji nipate kifaa cha internet ambacho ni UNLIMITED.,watumiaji tupo kama 32.Je ni kifurushi cha bei gani kitatufaa kama staff?zingatia kwamba mimi ni mwalimu.🙏🙏
Kachukueni voda hamtajutia ni 120k mnachanga pamoja na kupata huduma.
Kwa ranking za data from telecom naweza weka hivi in terms of speed.
1.Vodacom
2.Halotel
3. Tigo/zantel
4. Airtel
Ila kabla ya
 
Habari wakuu,naomba muongozo nahitaji nipate kifaa cha internet ambacho ni UNLIMITED.,watumiaji tupo kama 32.Je ni kifurushi cha bei gani kitatufaa kama staff?zingatia kwamba mimi ni mwalimu.🙏🙏
Kachukueni voda hamtajutia ni 120k mnachanga pamoja na kupata huduma.
Kwa ranking za data from telecom naweza weka hivi in terms of speed.
1.Vodacom
2.Halotel
3. Tigo/zantel
4. Airtel
Ila kabla ya
Watu 30 kama mnajiweza mara nyingi kutoka 120k mpaka 150K ni kama mna double speed. Mfano Airtel kwa 150k ni 50mbps, kwangu naona hii ina value sana.

Cha muhimu mkuu angalia eneo lako kama kuna 5G, japo 4G pia inakubali ila vyema hakikisha kama 5G ipo, inasaidia sana kubeba capacity kubwa kama yenu.
 
Mkuu unhetoa mfano sabbu Mimi nikenda kwenye lain yangu ya kawaida sizioni hizo optionz za kupata baundle kybwa za internate kwa reasonable price.Actually unakuta 2300 kwa 2 GB aharafu inasiha haraka
Mkuu sikuona hii reply, bado hujapata maelezo , kama bado nikuelezee
 
Watu 30 kama mnajiweza mara nyingi kutoka 120k mpaka 150K ni kama mna double speed. Mfano Airtel kwa 150k ni 50mbps, kwangu naona hii ina value sana.

Cha muhimu mkuu angalia eneo lako kama kuna 5G, japo 4G pia inakubali ila vyema hakikisha kama 5G ipo, inasaidia sana kubeba capacity kubwa kama yenu.
@Chief -Mkwawa. Msaada nifanye nini hapo App yangu ya X haifunguki.

20240425_185548.jpeg
 
Hapo wanataka kuhakikisha kama ni wewe, unaweza kulogin na browser ama click hio button ya Authenticate wanaweza kukwambia ufanye kitu fulani kufungua account.
Chief, Inafikia mpaka hatua hii ya mwisho lakini inagoma kufanya kazi.
20240425_201419.jpeg
 
Mimi nawapa ushauri wabure Hawa ISP wetu sasa hivi watu wanataka urahisi wa matumizi ya hivi vifaa namaanisha routers.

Nawapa wazo mmoja kama itawezekana, kama internet inatumia Laini ya simu Ni Bora kuwepo na line ambayo MTU Ni unlimited ambayo utainunua Kwa Kwa 5000 au 10000 ila inakuwa na vifurushi vya unlimited Kwa mfano waanze na 40000 Kwa speed ya 10mbps, 70000 15 Mbps, 100000 20mbps, 130000 30mbps etc.

Laini hiyo iwe free Kwa MTU akijisikia kuweka bando aweke. iSp watapata faida kwenye manunuzi ya Laini na endapo MTU atanunua vifurushi kuliko huyu mfumo WA sasa hununui routers hupati Laini na still doesn't work kwenye simu ukiiweka hiyo Laini. Mimi naona makosa waliyofanya Ni kulazimisha ununuzi wa router na free router Kwa wale bando kubwa, ingebaki Kwa mnunuzi mwenyewe angependa router au bila router Laini kutokana na nature ya matumizi.

Wabaki na kuuza VIFURUSHI VYAO TU kuhusu router ibaki maamuzi ya mteja.

Mfano Mimi Nina router unaweka Laini yoyote ikontu but still siwezi kuwa na ya ziada for sake of lain zao na mara nyingi natumia Halotel wako vizuri Sana.

Jaribuni hii idea mtaona mwitikio wa wateja

Angalizo
Muwe WA kweli kwenye huduma mtakazo toa sio longolongo la speed au network coverage lazima iwe 4g 5g ili upate service

Ni Hayo
Mwenye wazo au aongezee akosoe it's for better
IMG_4210.jpeg

Chukua Tigo. Laini zao zinakubali kwenye simu.

Ila kianzio ndio ukuta wa chuma.
 
Back
Top Bottom