Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nimefanya a deadly mistake..

Leo nimenunua Router ya Airtel 5g ili nitumie home..nilivyokuwa Town spidi ilikuwa kubwa sana na taa ya 5g ilikuwa inawaka..kurudi home hamna kitu hata hiyo 4G hamna kufungua tu whatsapp pic mtihani..

Hapa naona nimepoteza 110k hivihivi..

Wenzangu mnaotumia hii kitu vipi??

Na je kuna option nyingine nzuri ya unlimited kwa Voda au Tigo??.. maana nimepima speed kwa kutumia simu naona zipo
vizuri kwa eneo nililopo
Pole sana hii ilinikuta pia mwaka jana mwezi wa 4 baadae ilikaa sawa
 
Nimefanya a deadly mistake..

Leo nimenunua Router ya Airtel 5g ili nitumie home..nilivyokuwa Town spidi ilikuwa kubwa sana na taa ya 5g ilikuwa inawaka..kurudi home hamna kitu hata hiyo 4G hamna kufungua tu whatsapp pic mtihani..

Hapa naona nimepoteza 110k hivihivi..

Wenzangu mnaotumia hii kitu vipi??

Na je kuna option nyingine nzuri ya unlimited kwa Voda au Tigo??.. maana nimepima speed kwa kutumia simu naona zipo
vizuri kwa eneo nililopo
Ukitoka nje pia network hamna?
 
Nimefanya a deadly mistake..

Leo nimenunua Router ya Airtel 5g ili nitumie home..nilivyokuwa Town spidi ilikuwa kubwa sana na taa ya 5g ilikuwa inawaka..kurudi home hamna kitu hata hiyo 4G hamna kufungua tu whatsapp pic mtihani..

Hapa naona nimepoteza 110k hivihivi..

Wenzangu mnaotumia hii kitu vipi??

Na je kuna option nyingine nzuri ya unlimited kwa Voda au Tigo??.. maana nimepima speed kwa kutumia simu naona zipo
vizuri kwa eneo nililopo
Pole mkuu, ila nadhani sehemu uliyoiweka ndo hakuna Network nzuri, jaribu kuhamisha hamisha kwenye nyumba hiiyo modem huenda kuna sehemu ina reception nzuri ya Network.

Kuna App ambayo inasaidia kujua wapi kuna reception nzuri ya Network, zinaitwa 1)Netspot 2)Wifi Analyzer 3)Ekahau HeatMapper, unaweza kudownload yoyote then washa modem yako unazunguka nyumba nzima kuangalia sehemu nzuri ambayo internet ipo strong then utaiweka hiyo modem hapo.
 
Pole mkuu, ila nadhani sehemu uliyoiweka ndo hakuna Network nzuri, jaribu kuhamisha hamisha kwenye nyumba hiiyo modem huenda kuna sehemu ina reception nzuri ya Network.

Kuna App ambayo inasaidia kujua wapi kuna reception nzuri ya Network, zinaitwa 1)Netspot 2)Wifi Analyzer 3)Ekahau HeatMapper, unaweza kudownload yoyote then washa modem yako unazunguka nyumba nzima kuangalia sehemu nzuri ambayo internet ipo strong then utaiweka hiyo modem hapo.
Naunga mkono hoja
 
Hodi wakuu, nimekuwa nikiwaza chaguo lipi ni sahihi kwa sisi wapenda burudani ya soka. Nikilipia kifurushi cha compact dstv(64k) napata mechi za epl zote ila za uefa ni baadhi, naona hapa watu wengi wakizungumzia uwepo wa option ya kulipia internet 70k kwa mwezi ambayo naona haitofautiani sana na ile bei ya compact

Sasa swali langu liko hapa, kuna uwezekano wa kupata burudani ya soka bila changamoto yoyote endapo nitakuwa na reliable internet? Kwa maana kuna sites za uhakika au labda app au chochote tu kile ambacho kitafanikisha kutazama kabumbu bila kikwazo? Kwa wajuvi naomba muongozo tafadhali
Nenda kaitafute hiyo App ipo Google kai search maana mimi inanisaidia sana kwenye kuangalia mpira na haikwami kwami ata kidogo...
 

Attachments

  • Screenshot_20250103_133547_One UI Home.jpg
    Screenshot_20250103_133547_One UI Home.jpg
    179.9 KB · Views: 12
Mimi ni mdau wa movies na series sana ila mpira kiasi tu pale napo kuta upo na angalia. Natumia internet ya 70k toka Airtel na IPTV package moja toka South Africa kwa 8usd kwa mwezi nikilipia kwa miezi 6 inakuwa 40usd au mwaka 80usd. ndani napata super sports zote HD version plus Azam 1,2,3. Plus other DSTv channels. Pia ndani napata SEries na movies zote latest za HBO, Hulu, Netflix, Apple Tv, etc. So via Airtel 70k na IPTV 8usd swala la soka na movies nimemaliza kero za kudownload nimeacha na miezi kama sita sasa. Inshort hii package buffering chache sana
Inaitwa hiyo IPTv Mkuu?
 
Yes..ila asubuhi niliitest tena ikawa fresh mpaka 24mbps...shida hapo ni nini mkuu
Inawezekana hata 4G hapo kwako ni shida, cheza na hizo generation kwanza, kwenye menu ya router kama kuna option ya kuweka 4G only ama 3G only anza na moja moja, weka 3G only pima speed, weka 4G only pima speed, pia fuata ushauri mwengine huo wa kucheki signal mahala mbalimbali kwako, Hizi network za kisasa zinaathiriwa sana na vitu kama miti, majengo marefu etc.
 
I
Pole mkuu, ila nadhani sehemu uliyoiweka ndo hakuna Network nzuri, jaribu kuhamisha hamisha kwenye nyumba hiiyo modem huenda kuna sehemu ina reception nzuri ya Network.

Kuna App ambayo inasaidia kujua wapi kuna reception nzuri ya Network, zinaitwa 1)Netspot 2)Wifi Analyzer 3)Ekahau HeatMapper, unaweza kudownload yoyote then washa modem yako unazunguka nyumba nzima kuangalia sehemu nzuri ambayo internet ipo strong then utaiweka hiyo modem hapo.
Ila asubuhi speed ilikuwa kubwa kabisa na eneo ilikuwa ni hapohapo..hapo shida nini?..
 
Okay
Inawezekana hata 4G hapo kwako ni shida, cheza na hizo generation kwanza, kwenye menu ya router kama kuna option ya kuweka 4G only ama 3G only anza na moja moja, weka 3G only pima speed, weka 4G only pima speed, pia fuata ushauri mwengine huo wa kucheki signal mahala mbalimbali kwako, Hizi network za kisasa zinaathiriwa sana na vitu kama miti, majengo marefu etc.
Okay Boss
 
Pole mkuu, ila nadhani sehemu uliyoiweka ndo hakuna Network nzuri, jaribu kuhamisha hamisha kwenye nyumba hiiyo modem huenda kuna sehemu ina reception nzuri ya Network.

Kuna App ambayo inasaidia kujua wapi kuna reception nzuri ya Network, zinaitwa 1)Netspot 2)Wifi Analyzer 3)Ekahau HeatMapper, unaweza kudownload yoyote then washa modem yako unazunguka nyumba nzima kuangalia sehemu nzuri ambayo internet ipo strong then utaiweka hiyo modem hapo.
Wifi analyser..

Hapa vipi??

Lakini spidi ni 2-3mbps..

Hii location ndo ina strong signal??
 

Attachments

  • Screenshot_20250103-213427_WiFi Analyzer.jpg
    Screenshot_20250103-213427_WiFi Analyzer.jpg
    53.4 KB · Views: 18
Inawezekana hata 4G hapo kwako ni shida, cheza na hizo generation kwanza, kwenye menu ya router kama kuna option ya kuweka 4G only ama 3G only anza na moja moja, weka 3G only pima speed, weka 4G only pima speed, pia fuata ushauri mwengine huo wa kucheki signal mahala mbalimbali kwako, Hizi network za kisasa zinaathiriwa sana na vitu kama miti, majengo marefu etc.
Mkuu unaona hapa ni Asubuhi..

Hii spidi mbona siipati usiku na eneo nilipoweka Router sijabadilisha??
 

Attachments

  • Screenshot_20250104-072212_Chrome.jpg
    Screenshot_20250104-072212_Chrome.jpg
    133.2 KB · Views: 15
  • 20250104_073530.jpg
    20250104_073530.jpg
    292.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20250104-070733_Chrome.jpg
    Screenshot_20250104-070733_Chrome.jpg
    133 KB · Views: 9
Back
Top Bottom