Vigezo na sifa za Mwanamke wa kuoa kwa 2024 - 2050

toa hicho kigezo cha kwamba mwanamke awe na kipato
 
Ameandika vitu vizuri kwa kuviwaza lakini havina Applicability au ni very rarely case kutokea.

Yaani huyu binti mpaka amalize chuo lets miaka 20 apate kazi yaani bado hiyo bikra inakusubiri wewe

Mtibeli
 

😄😄
 
Ameandika vitu vizuri kwa kuviwaza lakini havina Applicability au ni very rarely case kutokea.

Yaani huyu binti mpaka amalize chuo lets miaka 20 apate kazi yaani bado hiyo bikra inakusubiri wewe

Mtibeli

Vitu vizuri na vya thamani vinagharimu.
Wapo waliobahatika Mkuu.
 
Ameandika vitu vizuri kwa kuviwaza lakini havina Applicability au ni very rarely case kutokea.

Yaani huyu binti mpaka amalize chuo lets miaka 20 apate kazi yaani bado hiyo bikra inakusubiri wewe

Mtibeli
Tena Binti Mzuri … yaani “Mzuri”
 
Bikira utampata wapi...

Maana hata za sikio hamna siku hizi...
 

Kumpata mwanamke bikra, mzuri na ana kipato inawezekana..

Ila mwanaume uwe high value man, uwe sehemu sahihi ya kukutana nao wanawake wenye sifa hizo, Na pia mwanaume usiwe mkubwa sana. Na mwanaume uwe umejipata

Wanawake wenye sifa hizo unawapata hasa wale ma Auditor wa PWC, KPMG, Dellote na Ernest young.

Ukiwa unafanya kazi kampuni kubwa yoyote lazima uwe unaviona hivi vidada vya hizi kampuni nilizozitaja vikija ku audit ofisini kwenu.

Ama mwanaume na wewe upate kazi kwenye hizo kampuni za audit. Utajuana navyo vingi na kupata mmojawapo wa kumuoa.

Hivi vibinti asilimia 90 vinaajiriwa bikra. Maana kwanza vinapata ajira mapema chuo vinamaliza mwezi wa 7 na kazi wanaanza mwezi wa 9. Kabla ya graduation vinakuwa kazini tayari.

Sababu kwanza vinakuwa best student udsm, Udom ama Mzumbe. Best students wa kike ngumu sana kujihusisha na mahusiano. Maana chuo vinasoma kozi ngumu ngumu. Za engineering ama B com Accounting

Pili sekondari vinakuwa vimefanya sayansi combination na vimepiga div one Point kali.. binti wa PCM ama PCB ngumu sana kujihusisha na mapenzi.
Shule zenyewe wanasoma zisizo na vishawishi kama St Francis, Marian, Mazinde Juu,

Hawa asilimia kubwa wanaolewa na bikra zao.
 

Binti anakuwa affected na mazingira

Ukienda shule kama marian kwa mfano, ama st francis sio ajabu kukuta darasa zima la form 4 limejaa bikira.

Lakini ukienda shule za kata ama shule za Dar mfano jangwani girls. Unaweza usimpate bikra hata mmoja kwenye darasa hilo hilo la form 4.
 
Tushakua majibaba na majimama😁
 
Nakazia , oa mwanamke ambae mama yake anatambua umuhimu wa baba katika familia.

Usioe mtoto wa feminist kamwe, ambae baba yake hana sauti kwenye familia.

Note: kukataa ndoa ni bora zaidi.
Nadhani matatizo yote yanaweza suluhishika ila hili ulilosema kamwe abadan halisuluhishiki..
'' Kijana ogopa sana kuoa mwanamke ambaye mamaake ana sauti kuliko babake ake"
Ogopa mnoo.
Bora singlemom alieefiwa na bwana alomzalisha kuliko mwanamke ambae kwao mama ndo ananguvu.
 
Mbona kama umekata tamaa mkuu😄😄
Ni mziki si wa kitoto kaka maana hizo sifa ulizoainisha dunia ya leo haziendi sambamba,
Ukiona mwanamke mwenye kipato ujue wamemtoboa sana kufika hapo, Na ukiona Bikra automatically ni mdogo hivyo economically dependent.
Na sasa case ya urembo hapa unakuta katobolewa haswahaswa hata kama ana kipato.
 

Kwisha habari yenu.
Yaani hapa ni kukata tamaa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…