Vigezo na sifa za Mwanamke wa kuoa kwa 2024 - 2050

Kiongozi nimekuelewa sana japo kwenye swala la kupata mwanamke alie na vigezo ivyo vyote ni changamoto japo unaweza ukakuta ni bikira lakini kiuwezo akawa hajiwezi ni ngumu sana kukuta bikira + anajiweza + na mzuli pia hao walikua wa enzi za mababu zetu si ngoja tujichukulie hawa wa kizazi chetu hi
 
Kiongozi nimekuelewa sana japo kwenye swala la kupata mwanamke alie na vigezo ivyo vyote ni changamoto japo unaweza ukakuta ni bikira lakini kiuwezo akawa hajiwezi ni ngumu sana kukuta bikira + anajiweza + na mzuli pia hao walikua wa enzi za mababu zetu si ngoja tujichukulie hawa wa kizazi chetu hiKi
 
Nakazia , oa mwanamke ambae mama yake anatambua umuhimu wa baba katika familia.

Usioe mtoto wa feminist kamwe, ambae baba yake hana sauti kwenye familia.

Note: kukataa ndoa ni bora zaidi.
niko na binti nawaza waza kumuoa lakini kitu kama hiki (ulichokisema hapo) kinanitatiza; wazazi wa binti walitengana, watoto wote waliambatana na mama yao na kumtelekeza baba peke yake (hakuna mtoto yuko upande wa baba) ,baba walimwachia nyumba na wao wakaenda kupanga kwingine!
Nayeye (binti) anasemaga kabisa ati "tulimwacha baba kwa sababu ana tabia mbaya" japo sijajua ni zipi.
Mkuu MIN-me, huyu nioe au niendelee kutafuta?
NB: kataa ndoa hainihusu, mimi si mwanachama.
 
Nakazia , oa mwanamke ambae mama yake anatambua umuhimu wa baba katika familia.

Usioe mtoto wa feminist kamwe, ambae baba yake hana sauti kwenye familia.

Note: kukataa ndoa ni bora zaidi.
niko na binti nawaza waza kumuoa lakini kitu kama hiki (ulichokisema hapo) kinanitatiza; wazazi wa binti walitengana, watoto wote waliambatana na mama yao na kumtelekeza baba peke yake (hakuna mtoto yuko upande wa baba) ,baba walimwachia nyumba na wao wakaenda kupanga kwingine!
Nayeye (binti) anasemaga kabisa ati "tulimwacha baba kwa sababu ana tabia mbaya" japo sijajua ni zipi.
Mkuu MIN-me, huyu nioe au niendelee kutafuta?
NB: kataa ndoa hainihusu, mimi si mwanachama.
 
Ndg Robert heriel, kwasasa kumpata binti mwenye "biashara/kazi" alafu awe "bikra" mmmh

Familia ambazo zinazoishi kwa mfumo dume ndiko unaweza kupata bikra, na binti anakuwa chini ya uangalizi mkubwa wa wazazi. Suala la kipato na bikra kwa wakati mmoja ni 'haliwezekaniki' kama unavyojisemeaga
 
Vigezo vyangu
🤏Awe ana elimu ya fom four na maisha akiwa na ujuzi atapewa kipaumbele
🤏Asiwe amewahi kuzaa wala kutoa mimba
Awe mzuri wa kawaida takro liwepo medium to large size
🤎 rangi yoyote pussy iwe mnato
 
MSIMAMO NI ULE ULE KATAA NDOA

NDOA UTAPELI MTUPU.


Nipo kwenye ndoa ila naamin nikifika miaka kadhaa hapo mbele kabla ujana haujanitupa mkono nitavunja mahusiano ya misingi ya ndoa niishi alone. So ushi za bikra uzuri kipato sina hesabu nazo sana
 
Mkuu huyo binti hawezi kuja kukuheshimu wala kujua thamani ya uanaume wako ndani ya nyumba, kama ameshindwa kumpa baba yake alie mzaa thamani, je sembuse wewe mtu baki kabisa kwake??🤔🤔🤔🤔.

Note: maamuzi ya kumwacha yatakua sahihi zaidi kwako .

Maamuzi ya kuendelea kuwa nae na kufikia uamuzi wa kumwoa kabisa , utakua umetumia hisia zaid ya kutumia akili yako , na sio vibaya kama mambo yanaweza kukunyookea ila ni kubahatisha zaidi apo.
 
Mkuu huyo binti hawezi kuja kukuheshimu wala kujua thamani ya uanaume wako ndani ya nyumba, kama ameshindwa kumpa baba yake alie mzaa thamani, je sembuse wewe mtu baki kabisa kwake??
umesomeka
 
Ukitaka kufahamu jinsi mwanamke wako atakavyokuwa miaka 20 ijayo, mwangalie mama yake mzazi sasa hivi kuanzia muonekano na tabia zake.

Unafikiri wewe una u-special gani upone yaliyompata Baba yake? Kama mti mbichi (Baba) umetendewa hayo sembuse wewe mti mkavu (mtu baki)?
 
dah [emoji3] haya mambo haya!
 
Tatzo hapo unachagua wanawake zaidi ya mmoja, ni ngumu sana kumpata mwenye sifa zote hizo Lazima utakuta mmoja anasifa hii na mwngine ana zingine
 
Kwani unadhani hawezi kuwapata hao sealed, au hajui hilo? Sijui kwanini watu mnapenda kuleta hoja zenu binafsi kwenye maamuzi binafsi ya maisha ya wengine...

Nimeshasema sisi kigezo chetu kikuu ni upendo na tunapendana sana, period.
Sio kigezo chenu sems hana namna tu lakini hakuna mwanaume asiyependa sealed.
 
Hana hyo uwezo.
Kuoa Mwanamke bikra sio jambo rahisi na sio Bahati kwa kila mwanaume.

Hakuna mwanaume ambaye hakuwa na ndogo ya kuoa Mwanamke mwenye Bikra. Yaani yeye ndiye awe wakwañza. Huyo hayupo.
Ni vile uwezo hawana.
Mkuu una ukweli mchungu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Manzi awe bikra hapo hapo awe na kipato na awe mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…