Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Nimesoma thread yote na comment karibu zote nimezipitia kwa utuo. Nilichogundua ni kwamba UKOMBOZI WA KIFIKRA NI TATIZO KUBWA.
Wengi wanaweza kuwa wasomi lakini wana FIKRA MGANDO. Ukabila ni suala la kufikirika tu. Tabia za binadamu huathiriwa na mambo mengi. Suala la ukabila ni fikra na imani tu. Pole sana mtoa hoja!
 
Very true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…