Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Yes ndio zao na hapo ukisogea karibu yake ana punguza sauti au anakata kabisa simu ila ukitoka sasa unawekwa mezani wanaunga conference ukoo mzima wana jadili namna ya kukupuna vizuri na kukuendesha
Mkuu umetema madini yote. Nilikuwa na Likwaya yaani tabia hizo hizo kama Wajita. Sio wa kuoa hao hawafai kabisa kabisa. Vijana huu ushauri mzuri sana kuweni makini na haya Makabila.
 
Kuna jamaa yamemkuta, ameondoka amekomba vitu ndani na bado amekimbilia ustawi wa jamii kuwa ametelekeza mtoto
 
Mkuu umetema madini yote. Nilikuwa na Likwaya yaani tabia hizo hizo kama Wajita. Sio wa kuoa hao hawafai kabisa kabisa. Vijana huu ushauri mzuri sana kuweni makini na haya Makabila.
Atakae sikia na asikie mkuu
 
Mfano, nenda msoma mjini....nyumba nyingi za wenyeji (wajita) zinawajane.

Kuna ukweli flani, usipuuze

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Ila huko Musoma Mjini wenyeji na wenye mji ni Wakwaya. Hao unaowaita Wajita ni wakuja tu. Pia kuna Waruri ambao wanaishi sehemu hizo. Wajita wanatoka nje ya Mji huo. Tatizo ni kwamba kwa vile Wajita wanafahamika zaidi basi mzigo wote wa watu waliopo Musoma Mjini wanabebeshwa wao. Fanya uchunguzi zaidi utagundua ukweli huo.
 
Hata wadada wa kikurya naona wana matatizo. Kama hujamchunguza kwa ndani huwezi kuona. Sometimes naona bora nioe kabila langu tu ujinga wetu tunajuana wenyewe kuliko kufanyiwa ujinga mpya
Mtoa mada anazungumzia kinadada wa Kijita. Mkoa wa Mara una makabila kiasi cha 20 au zaidi ya hapo. Kuna Waikizu, Washashi, Wajita, Wakwaya, Waruri, Wakurya, Waikoma, Wanata, Wasimbiti, Wangoreme, Wakiroba, Waisenye, Wazanaki, Wasuba, Wasizaki, Wajaluo, Wakerewe, Wasukuma, Wataturu, Wasweta na wengineo. OKW naona umejikita kwenye Wakurya. Kwa mtaji, huu naona watu wataanza kuogopa mabinti wote watokao Mkoa husika Ila sijui kama kwa kufanya hivyo watawatendea haki wote watokao huko.
 
Unajidanganya tu mwanamke wa kijita ili akuone mzuri labda ukubali kupelekeshwa nae yani awe kama yeye ndio amekuoa atoe maamuzi yeye na mama yake awe na nafasi ya kuamua mambo kwenye nyumba yako lakini tofauti na hapo watasubili ujenge nyumba wakuue tena wana tabia ya kupenda ujenge kwao ili wakisha kuua nyumba inabaki huko na hawapendi uwe na mahusiano mazuri na ndugu zako kwaio choose wisely

Ukweli ndio huo, wajita ni hatariiiii ogopaaaaaa! Me najaa hapa Kijiji Chao kimoja kinaitwa Rusoli, Wilaya ya Musoma vijijini, Kila nyumba utaambiwa ni wachawi, usikae nao na huyo anaekuambia utaambiwa yeye ndio balaa, na wanapenda ngono ni hatariiiii, ogopaaaaaa
 
Ukweli ndio huo, wajita ni hatariiiii ogopaaaaaa! Me najaa hapa Kijiji Chao kimoja kinaitwa Rusoli, Wilaya ya Musoma vijijini, Kila nyumba utaambiwa ni wachawi, usikae nao na huyo anaekuambia utaambiwa yeye ndio balaa, na wanapenda ngono ni hatariiiii, ogopaaaaaa
Wa kusikia na akusikie mkuu ogopa sana wajita ukioa unakua umeolea mtaa mzima na utalishwa madawa mpaka ukome.
 
Mtoa mada anazungumzia kinadada wa Kijita. Mkoa wa Mara una makabila kiasi cha 20 au zaidi ya hapo. Kuna Waikizu, Washashi, Wajita, Wakwaya, Waruri, Wakurya, Waikoma, Wanata, Wasimbiti, Wangoreme, Wakiroba, Waisenye, Wazanaki, Wasuba, Wasizaki, Wajaluo, Wakerewe, Wasukuma, Wataturu, Wasweta na wengineo. OKW naona umejikita kwenye Wakurya. Kwa mtaji, huu naona watu wataanza kuogopa mabinti wote watokao Mkoa husika Ila sijui kama kwa kufanya hivyo watawatendea haki wote watokao huko.
Bado mtoa mada yuko sahihi kwa hao wajita ukiachilia mbali makabila mengine kutoka mkoa wa Mara,
Wajita ,wakwaya na waruri wote ni jamii moja wana midomo balaa,yaani hata wazaramo wamesingiziwa,pia kwa uchawi ni balaa,
Walichobarikiwa wanawake wa kijita ni kuvuta visimi na kuwa virefu,
Kwa upande wa wanaume ni kupenda sifa za kijinga,utakuta mfanya usafi choo cha umma ila lazima awe na kalamu kwenye mfuko wa shati utadhani ni mwalimu
Kiufupi naunga mkono [emoji113] mtoa mada [emoji817]%
 
Back
Top Bottom