Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Ninaelewa sana unachokiongea coz nilikuwa nae na asilimi 90% yote ni ya kweli, hasa kutaka kukutawala utafkiri yeye ndio mwanaume.
Ndio ivyo mkuu na hayo yanakua maelekezo anapewa na ukoo wake mama yake yani ni watu wa ajabu sana
 
Yes ndio zao na hapo ukisogea karibu yake ana punguza sauti au anakata kabisa simu ila ukitoka sasa unawekwa mezani wanaunga conference ukoo mzima wana jadili namna ya kukupuna vizuri na kukuendesha
Nilishtuka, nikapiga chini haraka sana kabla mamba hayajawa mengi..

Halafu ni wasanii wazuri sanaa hasa kujifanya wapole.
 
Hakuna watu smart kama wapangwa kuanzia shule,kimaamuzi na hawalei watoto kuwa legelege.Ukipata mume Wa kipangwa kumpanda kichwani sahau.

Pia ni watu waaminifu sana

Wakisema no ni no kweli unafiki hawana.

Walio wengi hawakimbiii ndoa.
 
Mfano, nenda msoma mjini....nyumba nyingi za wenyeji (wajita) zinawajane.

Kuna ukweli flani, usipuuze

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Aisee 🤣 🤣
 
Wajita mkuje kipende hii Kuna ujumbe wenu mtwambie kama ni kwer au la [emoji3][emoji3] vijana wa KATAA NDOA kabla hawajapitisha azimio la wanaume
 
Nimekuelewa hapo kwenye kila mtoto na baba yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…