Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Fanya research ya makazi na upate history ya ndoa zao pia. Niende vipi si unafanya social researchMfano, nenda msoma mjini....nyumba nyingi za wenyeji (wajita) zinawajane.
Kuna ukweli flani, usipuuze
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Dah mkuu yani hapo kwenye ushirikina hawa wanawake ni habari nyingine kabisaaa...mimi kwakweli ni shuhuda hapa.......wajita wanawake wanapenda sana ushirikinaaa..mnoo mnoo.....nawajua familia moja muhimbili khaa yuke baba Dr amestaafu sasa....amerogwaa sanaaaa na mke wakè mjita piaa
CHAIWajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.
Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.
Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.
Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.
Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia
Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
😂😂😂😂😂😂😂
Hili nalo mkalitazame.
Ila hata wanaume wa kijita nao ni washirikinaDah mkuu yani hapo kwenye ushirikina hawa wanawake ni habari nyingine kabisaaa...mimi kwakweli ni shuhuda hapa.
Tena usiombe mwanaume uwe na pesa. Yani atakachokifanya kwanza ni kukupiga madawa ww uwe mama yeye awe baba kisha anafuata na kukutenganisha na wanao(hapa uombe tu watoto wakue wajielewe) baada ya hapo anafanya makolokolo muachane kisha mnagawana mali anakuacha ufe na presha zako.
Ni kweli ila wanawake ni moto wa kuotea mbaliIla hata wanaume wa kijita nao ni washirikina
Musoma mjini, ukitafuta wenye nyumba wazee wa kiume ni nadra kupatikana,
Kaz Kweli Kweli!!
Maelezo zaidi hapa mama naniliushoga kimbia mbio ndefu hakikisha mguu unagusa shingo wakat unakimbia
Aisee sasa nani yuko sahihi hapa.Wajita wa kike ni watu wema sana mkielewana.
Mjita hawezi kunikataa ndugu ila mimi nimeamua kusaidia watu wajue kwasababu wanawake wa kijita hawafai na kama na wewe ni mmoja wapo basi ni hatari hamfai kwani huoni mashuhuda wengine wanaweka shuhuda zao hapo.Naona mleta uzi kakataliwa na binti wa kijita kaamua kuja kulichafua kabila zima
Mimi ni mjita ila ulichoeleza ni uongo mkuu
Ukioa mjita na ukawa na pesa basi kaa ukijua muda wako wa kuishi duniani tayari unapunguzwa automaticallyLile kabila la wajita ni shida tupu kwanza Wana nyodo hao Yaani wahaya wakasome! Haafu Kwa uchawi hapana aisee
Kwetu ukija na dem wa kijita kwamba ndo mke wataangua kilio kama vile umepeleka msiba!
Musiba mnakumbuka tabia zake!
Ok yule mama Mongera ongea yake tu inamtbulisha