Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

......wajita wanawake wanapenda sana ushirikinaaa..mnoo mnoo.....nawajua familia moja muhimbili khaa yuke baba Dr amestaafu sasa....amerogwaa sanaaaa na mke wakè mjita piaa
Dah mkuu yani hapo kwenye ushirikina hawa wanawake ni habari nyingine kabisaaa...mimi kwakweli ni shuhuda hapa.

Tena usiombe mwanaume uwe na pesa. Yani atakachokifanya kwanza ni kukupiga madawa ww uwe mama yeye awe baba kisha anafuata na kukutenganisha na wanao(hapa uombe tu watoto wakue wajielewe) baada ya hapo anafanya makolokolo muachane kisha mnagawana mali anakuacha ufe na presha zako.
 
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
CHAI
 
Dah mkuu yani hapo kwenye ushirikina hawa wanawake ni habari nyingine kabisaaa...mimi kwakweli ni shuhuda hapa.

Tena usiombe mwanaume uwe na pesa. Yani atakachokifanya kwanza ni kukupiga madawa ww uwe mama yeye awe baba kisha anafuata na kukutenganisha na wanao(hapa uombe tu watoto wakue wajielewe) baada ya hapo anafanya makolokolo muachane kisha mnagawana mali anakuacha ufe na presha zako.
Ila hata wanaume wa kijita nao ni washirikina
 
Niliwahi shuhudia hili swali, uchale nu mulume? Dem akajibu eeh muuliza swali akasema eeh mugumile! Au hana kitu.
Sijui maanake ni nini?
 
Naona mleta uzi kakataliwa na binti wa kijita kaamua kuja kulichafua kabila zima

Mimi ni mjita ila ulichoeleza ni uongo mkuu
Mjita hawezi kunikataa ndugu ila mimi nimeamua kusaidia watu wajue kwasababu wanawake wa kijita hawafai na kama na wewe ni mmoja wapo basi ni hatari hamfai kwani huoni mashuhuda wengine wanaweka shuhuda zao hapo.
 
Back
Top Bottom