Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

NIna mashaka na jinsia yako, Mbona unakua dhaifu kiasi iko na ukabila juu looh.
Mimi navuta yeyote akianza mawenge nawaachia wana kwani mnalazimisha mfe kuzikana?
Makabila yamebaki ya kutambikia tembeza rungu Bro.
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
 
......wajita wanawake wanapenda sana ushirikinaaa..mnoo mnoo.....nawajua familia moja muhimbili khaa yuke baba Dr amestaafu sasa....amerogwaa sanaaaa na mke wakè mjita piaa
 
NIna mashaka na jinsia yako, Mbona unakua dhaifu kiasi iko na ukabila juu looh.
Mimi navuta yeyote akianza mawenge nawaachia wana kwani mnalazimisha mfe kuzikana?
Makabila yamebaki ya kutambikia tembeza rungu Bro.
Mimi nawapa ushauri vijana wenye staha ambao wana nia ya kujenga familia bola na sio wenye tabia kama io ya kutembeza
 
......wajita wanawake wanapenda sana ushirikinaaa..mnoo mnoo.....nawajua familia moja muhimbili khaa yuke baba Dr amestaafu sasa....amerogwaa sanaaaa na mke wakè mjita piaa
Ndio jadi yao io kazi ni uchawi wanakuroga adi unakubali
 
Wajita wenye baba na mama wanaoishi pamoja ni wachache sana
Ni ngumu sana kukuta familia ya kijita ina Baba na mama lazima ukute mama yupo na watoto wake ambao kila mtoto na baba yake alafu anakua na mabinti zake wawili ambao ndoa zimewashinda bas wanadanga maisha yanaendelea
 
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.

Bams zile generalized statements hizi huku. Ongezea hii uitumie siku nyingine kwenye kujitafutia uhalali uchwara.
 
Mimi nawapa ushauri vijana wenye staha ambao wana nia ya kujenga familia bola na sio wenye tabia kama io ya kutembeza
Sasa mna staha gani na nia gani kwanini msivumilie, Tatizo mkishayakanyaga ndo akili zinawarudi. Bado hujasema nikwambie tu huo ni mwanzo Master.
 
Uko sahihi asilimia mia moja.Yalinikuta makubwa ndoa ilidumu Kwa wiki moja tu.Nasasa nina miaka 6 nimeshamsahau mwanamke yule wa kijita.I second you
Ulidumu muda mrefu sana mkuu maana wajita hawafai labda wapate boya wamroge lakini ukiwa na akili zako timamu hauwezi kudumu
 
Wajita tabia zao unakuta mama kalea watoto wake yeye mwenyewe lakini unakuta mume alipoteza maisha na sio kwamba anapoteza kwa muda sahihi, ila anapotezwa.

Yaani wanawake wa kijita wako pamoja na mama zao yaani unakuta mama mmoja ana watoto watano kila mtoto na baba yake na familia zao kitendo cha kumuozesha binti mmoja kwa wanaume watatu tofauti ni jambo la kawaida kwao na hata akiwa ndani ya ndoa hataki kurekebishwa kwa jambo lolote na mumewe.

Yaani akirekebishwa tu ni chap anauza vyombo vyote ndani anaenda kwao na wazazi wanampokea kwa bashasha na ukoo mzima sio makaka wala madada zake.

Kwa kifupi vijana kueni makini sana na wanawake wa kijita, yaani siri zote utazofanya chumbani na mwanamke wa kijita zote anazipeleka kwenye jopo la ndugu zake, kwa kifupi unakuwa ni kama upo uchi mbele yao.

Naomba vijana muwe makini sana na ukishazaa nae tu ndio utakoma wanakatalia mtoto halafu ukoo mzima wanakukomalia uhudumie mtoto na pesa utume kwa mama mkwe na wao ndio wanawake wanaoongoza kwenda kwenye dawati la jinsia

Naomba kuwasilisha, vijana kuweni makini sana, akisema ni mjita kimbia speed 500 usigeuke.
Mkuu umesahau kuongezea sifa zao kuu mbili ambazo ni kupenda mambo ya kishirikina na kuchukia ndugu wa upande wa mwanaume.
 
Back
Top Bottom