MIMI Nina umri wa mtu Mzima sana naweza nikawa nakuzidi au tunalingana kiumri kuhusu shughuli yangu hio sijajua unataka kufahamu kwanini na inahusiana nini na hii Mada lakini kwa kukusaidia ninafanya biashara pia za hapa na pale yaan in & out sio permanent hapo nadhani umenielewa sasa nijibu swali languUna umri gani?
Kama ni mtu mzima unajishughulisha na nini?
Jawabu la swali lako katizame series inayoitwa The Gentlemen. Netflix ipo utaipata kwa urahisi.MIMI Nina umri wa mtu Mzima sana naweza nikawa nakuzidi au tunalingana kiumri kuhusu shughuli yangu hio sijajua unataka kufahamu kwanini na inahusiana nini na hii Mada lakini kwa kukusaidia ninafanya biashara pia za hapa na pale yaan in & out sio permanent hapo nadhani umenielewa sasa nijibu swali langu
Kumbe story ni nyingi sana tamaa mbele Mauti nyumaKuna jamaa humu JF aliwahi sema kuwa kuna Warundii walikuwa wanamwagiza mizigo anawatumia kwenye mabasi,walikuwa wanawasiliana nae kwa njia ya WhatsApp sasa jamaa akaingia tamaa akala pesa za Warudi,kumbe jamaa wakawapigia madalali na kuwapa taarifa.Wakamdaka na kumpeleka mafichoni humohumo sokoni,tena anasema yaani pako kama selo vile.
Alichezea kichapo hadi kuna jamaa akamsaidia...
Sawa Mkuu nashukuru kwa jawabu lakoJawabu la swali lako katizame series inayoitwa The Gentlemen. Netflix ipo utaipata kwa urahisi.
Majibu ya maswali yako yote yapo humo!
Acha tu ningeelezea ila ID yangu ipo very openMadogo wanazungua sana. Wanaforce maisha.
Milionea wa wiki 2😀😀😀😀😀Unabowa sana, siyo lazima uchangie kila uzi hata usivyovijuwa.
Kariakoo kuna kijana anaitwa tajiri wa wiki mbili, aliaminika dukani watu wakamrubuni akaiba million 200.
Hizi pesa zote alizipata tajiri mwenye mali, kosa lake alifanya mawasiliano na mke wake wakamdaka, kwahiyo jamaa alimiliki million 200 za wizi kwa wiki mbili tu.
Jamaa amemsamehe na amempa million 5 za kuanzia maisha mapya nje yake tajiri yake.
Usiwe unakurupuka tu chai wakati hujui lolote.
Sawa.Falla tu wewe.
waliochochea migomo na wanaoongea vibaya kumhusu mtu fulani wanaanza kushughuliwa taratibu na wapumbavuNimeshaona post kadhaa siku za nyuma vijana wa Kariakoo kupotea wakati nipo kwenye daladala ilibidi nimuulize jamaa mmoja kipindi cha nyuma kwanini vijana wa Kariakoo wanapotea sana, akasema Kariakoo kuna mambo mengi…aliishia hapo…
Ila kuna neno alisema kuna mchezo wa mali zinaibiwa mbali unapewa uuze, kuna mali kauli, cha msingi alikua anaongea mambo mengi.
Kama pia mnakumbuka wale vijana waliopotea wakati wa sherehe za eid wote ni vijana wa Kariakoo
View attachment 3034169
Watu wenye mawazo kama yako wanasumbuliwa na ujinga. Huwezi kuwa na nchi yenye serikali inayoua watu kwa siri hata kama ni majambazi. Unajua madhara yake? Bila shaka hujui.wapinzani bongo miyeyusho sana,wanafanya sometimes tunaona bora hawa majini wetu waliomadarakani..
nilishangaa sana kuona zile kelele nyingi vile nikasema hawa jamaa wanawafahm vizuri hawa watu wanaowapigia kelele wapatikane
Itakua ni genge la kihuni universityChuo gani HICHO kina kinafika GPA ya 7 wakati GPA ya juu ni 5?
Swali nzuriUna umri gani?
Kama ni mtu mzima unajishughulisha na nini?
Yupo kama mtotoUna umri gani?
Kama ni mtu mzima unajishughulisha na nini?
Jitahidi tu mtumishi, unitagTatizo Mimi ni mvivu kuandika ila nitajitahidi
Ndiyo maana nimempatia series moja inaitwa the Gentlemen. Inaonyesha jinsi matajiri wanavyoishi na kuendesha biashara zao nje na vile jamii inavyojua.Yupo kama mtoto
Wewe nina mashaka na Elimu yako.Na kama kweli ulifaulu basi ni kwa kupewa majibu.Una maswali ya kijinga sana.Ubongo umelala kama wa zezeta.Acha kutuharibia uzi.Hapo biashara za mikoa ndio umenifungia komeo Mkuu sijaelewa vizuri unamaanisha deal za mikoa wakipiga wanaleta ujanja mwingi kumbe wanajimaliza wenyewe?
Ukizaliwa Bunda huwezi kuyajuwa haya, watoto wa mjini ndio wanaelewa hakuna uhusiano wowote wa kisiasa na haya matukio.waliochochea migomo na wanaoongea vibaya kumhusu mtu fulani wanaanza kushughuliwa taratibu na wapumbavu