Hakika hili lawezekana.Hapo hakuna cha UTI sugu marehemu hakutaka tuu kuwaambia aligonoka na super gono..
Le supa gonoHapo hakuna cha UTI sugu marehemu hakutaka tuu kuwaambia aligonoka na super gono..
Hahahaha.. kweli una uhitaji wa hyo chanjo.Ndio nimetoka kuulizia chanjo yake, ila nimeambiwa mpaka nipimwe ngoma kwanza ndio mtihani sasa.
Ngoja nijipange kisaikolojia kwanza.
Kabisa kabisa best...hakuna uti isiyotibika ukiona hivyo ni mixed bacteria wapo hilo eneo wameshakula hasa magonjwa ya ngono...siku hizi vijana wamejisahau sana ...na hyo anal sex wanavyoiendekeza watakufa sana..Hakika hili lawezekana.
Wengi wana super gono ili wanaliita UTI sugu.
Ngono zembe ni hatari mno
Ni hatarii mkuu humo ndani ya boxa na vyupi kumeficha mengi...Le supa gono
Kaka unalipwa kuundanganya umma ?Unatakiwa uchome tatu, ya kwanza elfu 15 na zinazofuata elfu 10
Mwenye uti sugu kuna namna ya kumrudisha pewersafe. Antbio na dawa flan hiv unameza packt nzima kwa wakat mmoja. Baada ya hapo unajisikia kama kufa kufa then kesho yake unadunda kama mtu alofufuka.Asante.
Power Safe(Ceftriaxone)zinadunda
Azuma ndo kabisa.
Huu ujinga mnaolishana utawauwa .Kitu kama 30000 au 20000
Kiujumla haiambukizwi kwa ngono. Labda hao mnaosema wanaumwa magonjwa mengine ya STD na siyo UTI. Dar kuna mtindo umeingia siku hizi wa kufanya ngono kinyume na maumbile. Ni hatari sana.Mie nilikua nawaza km wee, ila kuna mdada ni Dr ndo alinielekeza kuna UTI inaambukizwa kwa unsafe sex pia.
Mkuu hapoaAzuma mimi hazijawahi kunisaidia.
Kwani huko trabatra kuna ni? Mbona zamani enzi wadogo hakukua hivyo jameni
DaktariNitajidanganyaje? Urinary tract, vaginal canal, matundu tofauti hayo boss. Naelewa nachoandika. UTI ni tofauti na STI. Sijataka kuandika kitaalam sana tutakimbiana.
Nimefanya epidemiology na nimeandika papers kijana. Watanzania kila mtun anajikuta mjuaji, daktari. Simple tu. UTI ukitembea na mwanamke kawaida huwezi kuipata labda uongize kwenye urethra yake, [emoji1787] ukifanya vaginal sex ukiumwa inaita STI au STD.
Unameza dawa pakti zima 😆 k%@#m#£Mwenye uti sugu kuna namna ya kumrudisha pewersafe. Antbio na dawa flan hiv unameza packt nzima kwa wakat mmoja. Baada ya hapo unajisikia kama kufa kufa then kesho yake unadunda kama mtu alofufuka.
Mwenye u.t.i sugu kwa msaada tutafutane.
Ikumbukwe mi di daktari. Si muuguzi ila naguswa tuu na hili janga.
Ntakupeleka kwa daktari na utapona kabisaa kwa gharama za kawaida kabisa
Mwache ashupaze shingoInaambukizwa mkuu...
Kwan unafanya hiyo kituInasababisha UTI?
Kama wewe ni kidume na haiambukizi kwa njia ya ngono nenda kamle kavu demu mwenye UTI halafu tuone namna ambavyo hauwezi ambukizika.Tusichanganye UTI na magonjwa ya ngono. UTI haiambukizwi kwa njia ya ngono. STD ndio zinaambukizwa kwa njia ya ngono.
11,500 Kichupa chenye dose 10....Kitu kama 30000 au 20000
Kweli kabisa mkuuUtaratibu wa kufanya ngono bila udhibiti usipokuwepo, nature inaingilia inaweka udhibiti.
Ni vile tuna ujuaji na ubishi mwingi ila Ukizaliwa ukakuta unaambiwa usifanye ngono kinyume na maumbile, usifanye ngono bila utaratibu ujue waliozaliwa kabla yako kuna sababu iliwafanya wakawa na hayo makatazo.