Vijana mfikirie usafiri wa wake zenu kwenda na kurudi kazini hasa siku za mvua

Vijana mfikirie usafiri wa wake zenu kwenda na kurudi kazini hasa siku za mvua

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Siku za mvua zina vishawishi vingi sana, ukifikiria usafiri wa kufika Mbagala, mabasi yamejaa na miundo mbinu yetu ilivyo rafiki. Mvua imeanza mchana na umefika ofisini na high heels zile ulizonunua juzi kutoka Uturuki.

Kuna kijana hupendi sauti yake lakini ana IST, mbona unaweza kumtafuta akupe lift kurudi nyumbani. Si kila mtu ana uwezo wa kununua gari lakini kuepisha matatizo muwe mnatoa ushirikiano wa usafiri siku kama hizi. Ikiwezekana chukua uber kuepuka vilio.
 
Kwa hiyo unataka kusemaje, leo umetamfuta mtu akupe lift?
😀😀😀
 
Kama analiwa aliwe tu ila nsijue usiwataftie sababu mvua zipo tangu dunia inaumbwa ni tabia tu ndo itampeleka uko kama anajiamini nakujikubali sio wakupelekeshwa na lifti ya IST

Apa nimetoa factor zote zile constant
 
Kama analiwa aliwe tu ila nsijue usiwataftie sababu mvua zipo tangu dunia inaumbwa ni tabia tu ndo itampeleka uko kama anajiamini nakujikubali sio wakupelekeshwa na lifti ya IST

Apa nimetoa factor zote zile constant
Mvua na maji ya Jangwani yake IST inakuwa na thamani ya Range Rover. Acha ubahili kwani uber bei gani?
 
Back
Top Bottom