Vijana mfikirie usafiri wa wake zenu kwenda na kurudi kazini hasa siku za mvua

Vijana mfikirie usafiri wa wake zenu kwenda na kurudi kazini hasa siku za mvua

Kama analiwa aliwe tu ila nsijue usiwataftie sababu mvua zipo tangu dunia inaumbwa ni tabia tu ndo itampeleka uko kama anajiamini nakujikubali sio wakupelekeshwa na lifti ya IST

Apa nimetoa factor zote zile constant
Wanawake wa siku izi wanapenda mteremko mkuu. Wa enzi za dunia kuumbwa usiwalinganishe na hawa wa leo. Na anaona kwamba kila mtu ana gari kasoro mume wake. Na kama ukimbeba kwa IST leo na kesho akapata mwenye range rover au V8, anamuacha wa IST.
 
Siku za mvua zina vishawishi vingi sana, ukifikiria usafiri wa kufika Mbagala, mabasi yamejaa na miundo mbinu yetu ilivyo rafiki. Mvua imeanza mchana na umefika ofisini na high heels zile ulizonunua juzi kutoka Uturuki.

Kuna kijana hupendi sauti yake lakini ana IST, mbona unaweza kumtafuta akupe lift kurudi nyumbani. Si kila mtu ana uwezo wa kununua gari lakini kuepisha matatizo muwe mnatoa ushirikiano wa usafiri siku kama hizi. Ikiwezekana chukua uber kuepuka vilio.
Mtu ukioa leo, ujue ni lazima umpatie furaha mkeo na asiwe na stress kabisa za maisha magumu nk. Ama sivyo mtu uache kuoa kabisa. Na ndio wengi tena wenye hela zao nzuri tu.. wanaamua ivyoo, manake kuacha kuoa kwanza hadi kieleweke.. kama ndg yangu Extrovert. 😂😂
 
Tena mbagala kwa sasa kubavokuwa na foleni wanavojengaa ...ongezea tabu ya mvua ikinyesha folen inakuwa mara mbili zaidi mbona mnamalizana kwenye folen
 
Wanawake wa siku izi wanapenda mteremko mkuu. Wa enzi za dunia kuumbwa usiwalinganishe na hawa wa leo. Na anaona kwamba kila mtu ana gari kasoro mume wake. Na kama ukimbeba kwa IST leo na kesho akapata mwenye range rover au V8, anamuacha wa IST.
Hili nalo ni neno
 
Tufikilie sisi usafiri wako wewe bichwa lina kazi gani[emoji290]
 
Back
Top Bottom