Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Iwe ukame iwe masika kama ana tabia chafu atakua nayo tuKueleshana ni muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe ukame iwe masika kama ana tabia chafu atakua nayo tuKueleshana ni muhimu
Lazima ukubaliane na Hali.. labda ubebe kwenye pochi uvalie ofisini tuuTusio na magari haturuhusiwi kupendeza?
Kwan ukivuka ujana ndio hatukuchakati mbususu yako hiyo ilio vimba vimba?Nimeshavuka ujana.
Wanawake wa siku izi wanapenda mteremko mkuu. Wa enzi za dunia kuumbwa usiwalinganishe na hawa wa leo. Na anaona kwamba kila mtu ana gari kasoro mume wake. Na kama ukimbeba kwa IST leo na kesho akapata mwenye range rover au V8, anamuacha wa IST.Kama analiwa aliwe tu ila nsijue usiwataftie sababu mvua zipo tangu dunia inaumbwa ni tabia tu ndo itampeleka uko kama anajiamini nakujikubali sio wakupelekeshwa na lifti ya IST
Apa nimetoa factor zote zile constant
Mtu ukioa leo, ujue ni lazima umpatie furaha mkeo na asiwe na stress kabisa za maisha magumu nk. Ama sivyo mtu uache kuoa kabisa. Na ndio wengi tena wenye hela zao nzuri tu.. wanaamua ivyoo, manake kuacha kuoa kwanza hadi kieleweke.. kama ndg yangu Extrovert. 😂😂Siku za mvua zina vishawishi vingi sana, ukifikiria usafiri wa kufika Mbagala, mabasi yamejaa na miundo mbinu yetu ilivyo rafiki. Mvua imeanza mchana na umefika ofisini na high heels zile ulizonunua juzi kutoka Uturuki.
Kuna kijana hupendi sauti yake lakini ana IST, mbona unaweza kumtafuta akupe lift kurudi nyumbani. Si kila mtu ana uwezo wa kununua gari lakini kuepisha matatizo muwe mnatoa ushirikiano wa usafiri siku kama hizi. Ikiwezekana chukua uber kuepuka vilio.
Hili nalo ni nenoWanawake wa siku izi wanapenda mteremko mkuu. Wa enzi za dunia kuumbwa usiwalinganishe na hawa wa leo. Na anaona kwamba kila mtu ana gari kasoro mume wake. Na kama ukimbeba kwa IST leo na kesho akapata mwenye range rover au V8, anamuacha wa IST.