Mvua na maji ya Jangwani yake IST inakuwa na thamani ya Range Rover. Acha ubahili kwani uber bei gani?Kama analiwa aliwe tu ila nsijue usiwataftie sababu mvua zipo tangu dunia inaumbwa ni tabia tu ndo itampeleka uko kama anajiamini nakujikubali sio wakupelekeshwa na lifti ya IST
Apa nimetoa factor zote zile constant