Vijana mfikirie usafiri wa wake zenu kwenda na kurudi kazini hasa siku za mvua

Mvua na maji ya Jangwani yake IST inakuwa na thamani ya Range Rover. Acha ubahili kwani uber bei gani?
Kama ela ipo anatembea na range yake
Ila ndo izi za kuinga lazima aendane na uhalisia pesa sio Kila kitu lazima watu wajue ilo
 
dah! wakubwa wanafaidi sana, kumbe ukitoa tu lift unaweza pewa tam tam
 
Why unamsema shemeji yetu indirectly?

Si bora tu umchane aelewe tu kuwa unapata taabu wakati wa mvua?
 
Ndio maana jana niliona mabadiliko kwako! Sasa ngoja
 
Huku ni kujustify tuu umalaya hakuna lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…