Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani


nashangaa watu mliovamia kumbe vita yetu ya simba na yanga.. na jioni usikute tunakunywa bia pamoja.. sijui mtajificha wapi... huyu kitambo sana mpinzani
 
Damn!!!!!!!AAA kawekee Necta na onesha wajuku zako baadae.Haiwezekani kabisa wote tunafanana na Ronaldo kiumri na Messi na wengine tumepitwa Mbape sijui Ngolo Kante...halfu tuna salary slip ya makato asilimia 45 ya mshahara wako.Na ukute hata ujibane paso kwa mwaka hununui....Naishia hapaa
 
nashangaa watu mliovamia kumbe vita yetu ya simba na yanga.. na jioni usikute tunakunywa bia pamoja.. sijui mtajificha wapi... huyu kitambo sana mpinzani
Hongereni simba na yanga sie mahabiki wa Faru Jeuri ngoja tupite tu.
 
anafikiri AAA za physics ukienda nazo dukani unapewa unga,,, au unanunua gari kwa cheti cha AAA huku ni maujanja ujanja tu.. mwisho wa siku dogo ontario kamtapeli hela zake pamoja na AAA zake.. huo ndio mtaaa sasa
Hahaha!dah hapa kweli mjini
 

Wee ulitakiwa ubebe hivyk hivyo tuu...ishu sii kupita tuu
 
Hizi mbwembwe acheni nyie...happy duniani kinachomata ni hiki "Bora uzaliwe mwenye babati kuliko mwenye kipani"
Mliokosa akili za darasani huwa mnajifariji, hamkubali kushindwa.
Mwenye akili habahatishi, wewe mwenye bahati japo una bahati ila unabahatisha.
 
Kusoma ama Maisha hayana formula maalum!! Kinachohitajika ni kufocus kwenye kitu unachohitaji na kuweka nguvu zaidi!

NB; USISAHAU KUMWOMBA MUNGU AKUPE MWANGA WA KUKUONGOZA UENDAPO
 
Mliokosa akili za darasani huwa mnajifariji, hamkubali kushindwa.
Mwenye akili habahatishi, wewe mwenye bahati japo una bahati ila unabahatisha.

Acha zako unaakili za kurudia Mambo ya wenye akili....sio tunajifariji Hui ndio ukweli ukitaka uthibitisho muulize benzima
 
Kuna watu mnamponda jamaa, kisa nyinyi hamja soma sana ila mna maisha mazuri, lkn cha ajabu watoto wenu wa kuwazaa mmewapeleka shule za gharama. Sasa si mngewaacha watoto zenu wakae nyumbani ili wasimamie hizo biashara zenu kwani mkiwapeleka shule watachelewa kushika hela. Hongera mwana kwa kupiga kijiti cha 3.
 
Unawaambia waache kulala huku kichwa kina eleza wafaulu bila kukesha.
Jinga sn ww
 
Hii point makini sana
 
Unaweza kua na points nzur lakin taarifa yako imetawaliwa na ujivuni mwingi na sina hakika km inaweza kua na msaada kwa wanafunzi wengi zaidi watapotea kama watafata ushauri wako as ulivyoupresent.

Kumshauri mtu asome apate one ya 3 ni lazima awe mtu unaefahamu uwezo wake na speed yake ya kuelewa na kukumbuka vitu, mtu aliepata C ya Maths or Chemistry akifata njia yako atatoka na S advanced.

So its a good thing na hongera kwako but ushauri wako ni mbovu sana, umetawaliwa na majivuno na sifa nyingi.
 
Nimejifunza kitu ila sina nafasi tena mimi umri ushapita but naitamani sana ya 3 mimi nilipata ya 6 mkuu but still nawaza kwann sikumake wonders?
 
Yaan tuna wivu wa kijinga jamaa kaonyesha jinsi Gani alifaulu vizur leo ametoa mbinu watoto wazitumie tunishia mponga na HKL zetu za div 3 jamani,Bro nahis we Ni Elias Kihombo,ambae yupo Geita Nini? Ila mkuu nikupe hongera Sana kuonyesha njia kwa watoto wetu ,Mungu akubariki
 
Mkuu o level ulipata ngapi?
 
Reactions: apk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…