Labda alienda kutafuta mchumba tinder na badoo mwisho wa siku akalamba garasa ππJamani Mbona wema tupo? Tupo tunaojielewa na kujiheshimu msitufanyie hivyo.
Kwa jinsi ulivyo na hasira ni wazi umelizwa na kijana wa 90βs Mkuu, tusamehe wote!
Go to hell kizzHabari zenu
Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya
Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni
Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu
Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.
Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini
Huko tinder nilikua nafanya research Kuja kiini Cha matatizo ya hapa nchini kwetu na Dunia Kwa ujumla nikagundua hiki kizazi Cha 90 ndio kiini Cha mambo mabayaLabda alienda kutafuta mchumba tinder na badoo mwisho wa siku akalamba garasa ππ
Sasa babu mbona hueleweki. Mtu ambae anapenda kuishi kwa wazazi na akijitahidi sana anaenda kuishi kwa shemeji yake maisha ya porini atayaweza?Bora mtupishe mkaishi huko maporini
Asilimia kubwa ya kizazi Cha 90 wengi wanajifanya wamezaliwa 2000. Reference nenda tinder au badoo angalia walio kwenye huo mri utagundua wengi wao ni vikongwe vya 90 ila vimeamua kuwachafulia wa 2000
Tinder na badoo uliijuaje mkuu.Huko tinder nilikua nafanya research Kuja kiini Cha matatizo ya hapa nchini kwetu na Dunia Kwa ujumla nikagundua hiki kizazi Cha 90 ndio kiini Cha mambo mabaya
Orodhesha tu mzeeUna uhakika Tukisema tuorodheshe vijana wa hovyo waliozaliwa miaka ya 90 hauta chukia?
Kwani dhambi???Kwani hawa ni wale wanaovaa visendo manyoya?
HapanaKwani dhambi???