Vijana mnakwama wapi? Kuna kijana nilimuunganisha ajira hata asante hajanipa anataka nimtafutie ajira sehemu nyingine sasa

tenda wema nenda zako usingoje shukrani
ila watu wa kusini ndivyo hulka zao ukimpa kitu au msaada hawezi sema asante
anaona kama ni halali kwake kupata hicho alichokitaka kutoka kwako na ni stahiki yake
Kama umewahi kuishi kusini au kuishi na watu wa kusini unajua nini nazungumza hapa.
Watu wa kusini hata kuomba hatujui.
Utasikia mjomba una pesa nirushie tigopesa?
Unakasirika muda mwingine unafanya tu kwakuwa ni ndugu
 
Hawa vijana wakike na wakiume mostly ni wajinga sana
Sasa mtu kakuhangahikia halafu anaacha kazi. Alijua huko kazini ni kunywa supu na chapati basi anasubiri mshahara?
 
Kama umewahi kuishi kusini au kuishi na watu wa kusini unajua nini nazungumza hapa.
Watu wa kusini hata kuomba hatujui.
Utasikia mjomba una pesa nirushie tigopesa?
Unakasirika muda mwingine unafanya tu kwakuwa ni ndugu
nawapatavizuri
chake ni chake
chako chake na ukimnyima utageuzwa matangazo
 
Siyo kila king'aacho ni dhahabu. Kuna watu wanalipwa kiduchu,ila mazingira safi. Kuna wengine wanapokea kiasi kikubwa,ila mazingira magumu.
Siku zote ukisahau ulipokuwa,yanakuwa hivi hivi.
-Kwa nini anataka kuhama?
-kwa nini alipopata taarifa, wasiendelee kumpigania?

Kuna msemo mmoja, kwamba mbwa hukumbuka umhimu wa mkia ukishakatika
Sijamtukana mtu hapa. Lakini,kuna watu akishika tu kitu,hashikiki,mpaka apinde ndo utamuona. Kwa kiasi hicho, hata angechukua mchele,mafuta na unga akapeleka kwenye familia ya jama,ingekuwa shukrani tosha.
Huenda hata mawasiliano alikata.
 
Wewe wa hovyo sana ungenyamaza tuu. Dunia hii kumuunganisha mtu kazini ni jambo la kuhitaji malipo? Huyo dogo moyoni anakuona kama mkubwa wake ndiyo maana kakukumbuka tena.
Wapi kadai malipo?
Uendapo hotelini au kwa ma ntilie,si unakula/kunywa na unalipa!! Lakini ukiaga, si unashukuru!
Kinashindikana kitu gani kumuonyesha alokusaidia kwamba unathamini mchango wake? Shukrani si pesa tu. Hata kitu chochote unaweza kinunua,ukampa mtu.
Pata pesa tujue tabia yako. Sasa,kama huna shukrani,unaweza msaidia mwenzio? Anaesaidia mwenzie,na anayetambua uchungu wa kupigika
 
Inasikitisha Sana upo University lakini akili huna.

Hujui hata how to approach kuomba msaada, huko vyuoni mnafundishwa ujinga au ni nini hasa?

Hivi hata mtu kama pesa yake haina kazi ndio itoke Kwa style hii kweli.

Mimi roho inaniuma Sana nikiona kijana University level halafu bado mjinga na hajitambui.
 
Mchango Bora kabisa
 

Kutoa fadhila ni jambo la hiari wala sio lazima.

Kama umemsaidia akapiga hatua fulani kwenye maisha ni jambo jema lakini si lazima upewe shukrani maana huo ni moyo wa mtu.

Usiwe na roho dhaifu kiasi hicho mpaka kuja kumuanika kwenye majukwaa kwa sababu fadhila sio kitu cha lazima au fidia.
 
Unazinguka sana dingilahi ukweli ni kuwa unahitaji hela yake ya ahsante kwako .

Anyway mpe shavu kama lipo kesho yako inaweza kuwa mikononi mwake .

Nimemkumbuka rafiki yangu Nyafwili ukimuona mwambie dokta wa kijiji cha wagagikoko anamsalimia sana

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
"Sasa mtoa mada ananizungumzia mm hapa. Sasa Kwa taarifa yako sikupi cha shukran wala hata mia huonji na hii hela siirudishi...ww mbona serikali imekupambania ukiwa mdogo kadi yako imejaa ushauri sijui upewe ugali wa mtama mara ule nyama ya dog! Kama haitoshi ukasoma na mkopo bado ukaajiriwa vp uliwahi peleka shukran serikalini"

Brother huyo dogo kama yupo humu atakujibu hvo
 
Habari za siku nyingi MENEMENE TEKERI NA PERESI , wanasemaje hapo kwa wagagikoko..
Anhaa sikuoni ndugu yangu au kuna corridor sipiti ?
Hapa ni wazima wa afya tuko na ligi ya kijiji bingwa anapewa suruali ya kitambaa kwa kila mchezaji hivyo wikiendi yangu inaishia hapa uwanjani maana leo ni fainali .

Niko natizama fainali huku nanyonya taratibu pombe yangu ya kienyeji ya "DADII"

Bila kusahau ndugu yetu mwandishi wa michezo anayetoka huku kwetu tuko naye hapa bwana Baraka MPENJA na mimi nimepewa heshima ya kukaa naye meza kuu hapa kwenye siti za mbao ndefu .

Actually wikiendi imefana Nyafwili

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…