Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Hahahaa ndio maana ana makasirikoHana ndevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa ndio maana ana makasirikoHana ndevu.
Huyo ni emoji, pesa nikose hata ndevu nazo hapana, hapana
[emoji2]Huyo ni emoji, pesa nikose hata ndevu nazo hapana, hapana
Wanaume wa siku hizi Mhhhhh.Hunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Umeiweka too general mkuu. Umewachukia sana bila shaka, ila sio wote wako hivo. Wengine ni watu poa sana na ni watu wa kuigwa kwa kizazi hiki.Hunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Hii imekuja ghafla sana, ungetuandaa kwanza mkuuHunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Sasa wewe inakuuma nini hasa????? maana kwa jinsi navyoona ni kama vile hayakuhusu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] au dada yako kawa victim??!
Wewe ni Me au Ke?Hunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.