Vijana mnaofuga ndevu hamna pesa

Vijana mnaofuga ndevu hamna pesa

Mtoa mada ebu acha huo wivu wako bana, Kama hukujaliwa ndevu Ni Bora ujivunie ulichojaliwa na Mungu kuliko kuwachamba watu.We vipi banaa?
 
Kumekuchaaaa, lakini naona kuna ka ukweli kwa mbaaali
 
Hunijui sikujui.

Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.

Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.

Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Wanaume wa siku hizi Mhhhhh.
 
Hunijui sikujui.

Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.

Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.

Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Umeiweka too general mkuu. Umewachukia sana bila shaka, ila sio wote wako hivo. Wengine ni watu poa sana na ni watu wa kuigwa kwa kizazi hiki.
 
Hunijui sikujui.

Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.

Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.

Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Hii imekuja ghafla sana, ungetuandaa kwanza mkuu
 
Hunijui sikujui.

Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.

Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.

Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Wewe ni Me au Ke?
 
Lazima unawasema wale vijana wa makumbusho tu ukilinganisha na gsm hana ndevu, hersi hana ndevu, bakhresa hana ndevu, mo dewj hana ndevu, freddy vunja hana ndevu, Dangote hana ndevu, uhuru kenyatta na rutto hawana ndevu, kikwete hana ndevu, billgate hana ndevu, lowassa na kasssimu majaliwa hawana ndevu, Ramaphosa hana ndevu. Anyway acha hao wafuge pesa na wengine wafuge ndevu ndio kuchagua kwenyewe
 
IMG_1052.jpg
 
Back
Top Bottom