Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

Yesu alisema,Kizazi hiki ni cha Zinaa na Dhambi.
Ndiyo maana wanapenda zinaa na uasherati mf.akina kataa ndoa na Chaputa members.
Yesu hakusema lolote juu ya nyie ma brother mnaowaambi mademu.

""Tukoganee ila ukipata mume niambie ili tuachane akuoe""

#YNWA
 
Tunakushukuru kwa kutapatia ukumbusho mzuri.

Hakika , Mimi ntalifanyia kazi wazo lako.

Lakini mbona imekuwa ghafla Sana now days KE kupambania Sana ndoa
Je ni UPENDO au MAISHA au umri au wave la watoto wa 2000s kuwa kubwa?
Utabiri wa Kwenye Isiah 4:1 umeanza kutimia mkuu
 
Jibu lipo kwenye sentensi yako na jibu UNALO.

#YNWA

Tunakushukuru kwa kutapatia ukumbusho mzuri.

Hakika , Mimi ntalifanyia kazi wazo lako.

Lakini mbona imekuwa ghafla Sana now days KE kupambania Sana ndoa
Je ni UPENDO au MAISHA au umri au wave la watoto wa 2000s kuwa kubwa?
zinaa ni dhambi

Zinaa ni uchafu

HIVYO oeni
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
It is glitching in my mind.
 
Ndoa ni muunganiko wa wahuni wawili wenye malengo mawili tofauti.

Lengo la mume ni kuondoa sugu za upwiru kila alfajiri, na lengo la mke ni kufugwa na kulishwa ili kuepuka jua kali la saa saba.

Hapo katikati kuna msuguano mkali. Mchuano wa kukata na shoka baina ya upwiru na utapeli.

Cc : Binti Kimario Depal
😸😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom