Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

Vijana oeni sisi wanawake ni watu wema na Mungu ameagiza muoe. Acheni kufanya zinaa

MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mbona nanyi mlipoambiwa na Mungu msile tunda mkagoma na mkala kwa makusudi mazima.

Acha wasioe tu hakuna namna
 
jinsia ke kwa ujumla ni mashetani. Kwani umesahau pale edeni kulitokea nini? Umesahau wafalme na wakuu mbali mbali jinsi walivyouwawa na ke samsoni, yohanna mbatizaji, magufuli, carlos, nk, unadhani hatujui lengo la mkutano wa beijing? Au makubaliano ya shetani na mwanamke? Yaani ke wote kwaujumla ni kaimu mashetani sababu wanamsaidia shetani kuharibu dunia,!
Magufuli tena, kivipi?
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Zinaa ni mtazamo wako tu.
 
Marehemu Mama Lwakatare enzi zake za uhai amewahi kuwaita mabinti ambao hawajaolewa,walijazana Kanisani kwake utafikiri kuna nafasi za ajira.Akawaambia msijali mmepigwa na upepo wa Kisulisuli. Ila ndoa sasa ni ajira,ndio huwa sipendi mazoea mtaani na KE,maana wao siku hizi hawaaangalii cha mume wa mtu wala nini.
 
MITHALI 18:22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA.

WAEFESO 5:31

“Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili m'moja.

1 WAKORINTHO 7

Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

MARKO 10:7

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake.

MATHAYO 19;5

Na Mungu alisema,
'Hii ndiyo sababu mwanaume atawaacha baba na mama yake na kuungana na mke wake. Na hao watu wawili watakuwa m'moja

MWANZO 2:24

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili m'moja.

MWANZO 2:18-25

BWANA Mungu akasema,
Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mungu alisema na kusisitiza kuwa wanaowaoa waishi nanyi kwaakili, kama mliweza kumchonganisha Adam na Mungu mtashindwaje kuchonganisha mtu na mtu
 
Maisha ya ndoa unaishi bila uhuru! Ndoa na gereza fulani hivi kwa ME. Unashindwa kuishi kwa kuenjoy. Isitoshe mwishoni muhuni mwenzako analia timing hata uzeeni anakubwaga huku umepoteza resources zako zote.
 
Kama inakuja hivii halafu kama inakataa, inaoneka si lazima ila muhimu
 
Ok why hapo kwenye kutokuoa?
Nina sababu kama 5,ya kwanza Uhuru,natoka job mapema,napika,nasoma,napumzika,.usiku naangalia Movies Hadi late night,naamka mapema ratiba inaendelea,

Weekends Football tu,home au na washikaji you see?? My time is too short to share,siulizwi why simu imezimwa,uko wapi,na nani,I'm free like a bird,naishi drama,

LESS DRAMA,MORE PEACE,

Napenda kua na Uhuru kama ndege,
Nimekumbuka Movies mbili,

1: The Notebook,
Young Allie anamuuliza Noah "Allie: "Do you think I could've been a bird??

2: Forrest Gump,
Young Jenny anasali "Dear God, Make me a bird so I can fly"

Kiufupi sipendi kubanwa,..hiyo sababu ya kwanza,.
 
Nina sababu kama 5,ya kwanza Uhuru,natoka job mapema,napika,nasoma,napumzika,.usiku naangalia Movies Hadi late night,naamka mapema ratiba inaendelea,

Weekends Football tu,home au na washikaji you see?? My time is too short to share,siulizwi why simu imezimwa,uko wapi,na nani,I'm free like a bird,naishi drama,

LESS DRAMA,MORE PEACE,

Napenda kua na Uhuru kama ndege,
Nimekumbuka Movies mbili,

1: The Notebook,
Young Allie anamuuliza Noah "Allie: "Do you think I could've been a bird??

2: Forrest Gump,
Young Jenny anasali "Dear God, Make me a bird so I can fly"

Kiufupi sipendi kubanwa,..hiyo sababu ya kwanza,.
Na hapo hujapata mtatizo ya afya.
Na unadunda.
Ukiugua kidogo utajua maana ya mwenza.

Ila mimi argument yangu ni wanawake watuoe na sisi tudeke, halafu tukiachana tugawane 50-50%
 
Back
Top Bottom