Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Kwenye platform zote hiyo inaongiza kutoa pesa. Hata kwenye hicho kindege.Sport pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye platform zote hiyo inaongiza kutoa pesa. Hata kwenye hicho kindege.Sport pesa?
Inaitwaje play store
Brother nna shida na wewe ila naona PM yako ulivyoi-set haiingilikiKindege ni freemasons.
Pole.
Bado liko tumaini
Huyo ni Ibilisi ambaye kazi yake kubwa ni kuiba, kuchinja na kuharibu.
Amekuibia na ameshakuharibu tayari sasa anataka akuue (akuchinje)
Simama imara , funga omba atarudisha fedha zako.
Ila katika maombi ya kurudisha ulichoibiwa unatakiwa uwe na ufahamu mkubwa.
Si lazima arudishe kwa njia aliyoibia. Lakini ukimakinika itarudi na ziada.
View attachment 2915290View attachment 2915291
Bora hata usikijue maana ukikijua unaweza kukijaribu.Dah kweli sl betting imekukanda Mzee... Hicho kindege Cha aviator ndo nn
Navuta tu oxygen na ikinikatia ndiyo kwisha habari yake nakufa kama mbwa na ufukara usiopimikaHauna maisha??!! unaishi vipi sasa??
Brother hii kauli sijaielewa "ukiona giza limetanda sana katika maisha kuna mtu wa kushukuru" kivipiPOLE SANA ,jisamehe mil 7 ni hela ndogo ambayo haina thamani na uhai wako ,piga goti umshukuru Mungu katika ulichopitia .
Ukiona GIZA limetanda Sana katika MAISHA yako kuwa MTU wa kushukuru.
Uraibu wa kubeti utaushinda tu.
Kila comment nnayo jibu yanakuja maandishi mekundu kwamba inasubiriwa ipitiwe na moderators ndiyo iende kwa uma.Huyu jamaa hajarudi tena humu kusoma usharudi au ndo tayari
Achana nayo mkuu hicho kindege kitakufiisi tuu🤔Inaitwaje play store
Search google utapata maelezo ni kifupi hapo andika "Utt Amis"utt Amis ndio nn Accumen Mo
Ulipoteza kwenye aina gani ya betting?Michezo ya kishenzi sana hiyo, nilipoteza milioni 2.5 hivi kwenye betting, roho inaniuma mpaka kesho. Ile hali haielezeki.
Na hapa ndipo wengi wanakosea, hizo virtual games na casino n mbaya mno, huo uraibu kuuacha ni lazima uumie sana.Hatuachi kubeti Jana nimeanza na 30,000 tu kubeti kwenye soka Sasa hivi usiku huu Nina 200k ,unaniambiaje nibeti we utakuwa junior kwenye kubeti pia hauwezi zuia hisia na haujui betting inaendaje,na unaendaje kushindana na computer,betting zote izo aviator na virtual games ni computer ata siku Moja hauwezi shindana nazo