Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

Ndo maana ukaitwa zero brain sheikh

Mi majuzi niligombana na wife, nikachepuka kwa kitoto kina neema za allah kama zote, baada ya kuzoeana nikakapangia mahali ukiweka Kodi na vitu vyake vya ndani na ukijumlisha kaduka nilichomfungulia pale pale maana Kuna frame kwa nje haizidi 5M, yaani ni kama nimeoa mke wa pili kwa 5M na Kila siku napata Huduma ndo niende home.... Au naweza kuweka kambi hapo hata wiki kwa safari za kufata mizigo ya biashara za uongo


Nikiskia vijana mnapoteza 5M nahuzunika sana, kama unabeti beti hata buku tu aisee, m5 ukienda dar uswahilini huko unavuta wake watatu utakatikiwa mpaka ukimbie Jiji
Duh, watu mnatoa wapi huu ujasiri? Kisa Kei tu?

Poleni sana!
 
Pole sana mkuu, kubali kuwa umepoteza na anza upya ikiwezekana badili mazingira uza ulichonacho kaanze maisha upya sehem nyingine na usijejaribu kusema utairudisha hiyo hela na kutaka kuirudisha kupitia kamari, utapoteza kila kitu mpaka uhai.
 
Siku hizi kuna maarifa kila mahali, ungejaribu basi kutafuta hayo maarifa kabla ya kuzama ndani.
Betting ni chronic heartache kwa dunia ya sasa, sio bongo tu hata mbelez watu wanabet balaa.

Ila unapobet kila ulichonacho hapo lazima uumie, unapofanya betting kama kazi utaumia, unapobet ili utatue tatizo fulani kubwa utaumia...vyote hivyo ni sababu utatumia hisia zaidi ya maarifa.
Bet what you can afford to lose. Bet responsibly. Pole sana mleta mada.
 
Nashindwa kuwaambia jinsi nilivyojikatia tamaa kiasi cha kuwa kichaa.

Ila ninachoweza kuwaambia tu vijana wenzangu tuacheni kubeti kwa malengo kwamba tunapata pesa huko haraka haraka.

Fikiria nimefanya kazi ya kuajiriwa kwa miaka 8, nikafukuzwa kazi nikaenda NSSF nikachukua milion 7.5 niliyokuwa nakatwa alafu yote nimeimaliza kwenye kindege cha aviator ndani ya siku 5 tu.

Nahisi kuna roho flani iliniongoza kwa sababu kwa akili ya kawaida najiona siyo mimi.

Lengo ilikuwa kubetia elfu 50 kama mtaji wa kubetia lakini kilichofata ni kupoteza milion 7.5 zote bila kubaki hata mia ndani ya siku 5 tu.

Hapa nilipo I wish hata nijitoe roho tu maana sijui ni wapi naanzia maisha tena pesa yote nishaipoteza kwenye uraibu wa kamari.

Kila nikiwaza nna miaka 30, sijaoa, sina biashara yoyote niliyoisimamisha kunilinda, sina maisha, kwa kifupi hiyo milion 7.5 nilitegemea ndiyo niingie nayo mtaani inilinde.

Lakini shetani kanikamata na kunikanda kisawa sawa.

Najiona mjinga wa kiwango cha Phd ndiyo maana nimejiita Zero Brainer, sina wa kumlaumu ila tujiepushe sana na uraibu hasa wa kubeti.

Mimi naweza nikafa leo ila sitaki vijana wenzangu yaje yawakute yaliyonikuta mimi sasahivi.

Mimi hali nnayopitia sasa kwa sababu ya kubeti nakosa maneno ya kuwaelezea ila siku nikifa mjua KINDEGE cha AVIATOR kimesababisha kifo changu .
Pole, You can't beat Algorithms, fair betting ni sports angalau kwasababu wahusika wote ni human na sio machine.
 
Three addiction of every man
1. Wanawake
2.pombe na vilevi
3.kamari aka gambling

Every man anakua sehem moja kati ya hayo pia wapo wenye zote tatu

Hapo namba 3....Unaweza usiwe gambler lakini when it comes to risk taking unakuta you don't think twice upo tayari kujilipua mda wote (mfano biashara au fursa ikitokea unafufuka nayo tu mbele kwa mbele)

Wazee wa get rich or loose trying 😎🤠
 
Ndo maana ukaitwa zero brain sheikh

Mi majuzi niligombana na wife, nikachepuka kwa kitoto kina neema za allah kama zote, baada ya kuzoeana nikakapangia mahali ukiweka Kodi na vitu vyake vya ndani na ukijumlisha kaduka nilichomfungulia pale pale maana Kuna frame kwa nje haizidi 5M, yaani ni kama nimeoa mke wa pili kwa 5M na Kila siku napata Huduma ndo niende home.... Au naweza kuweka kambi hapo hata wiki kwa safari za kufata mizigo ya biashara za uongo


Nikiskia vijana mnapoteza 5M nahuzunika sana, kama unabeti beti hata buku tu aisee, m5 ukienda dar uswahilini huko unavuta wake watatu utakatikiwa mpaka ukimbie Jiji
[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom