Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mbona ushachelewa, atapambana mwenyewe.apo sasa nalegeza kabisa πhuo ushua natoa wap,,labda nipambane mwanangu aje kua wakishua
una roho ngumu,,nitie ata moyo kinafiki basiMbona ushachelewa, atapambana mwenyewe.
Unafiki ndio kitu ambacho siwezi fungamana nacho.una roho ngumu,,nitie ata moyo kinafiki basi
π₯ aaah kwahiyo ndo basi tena,, enewei nitakuja na mrejeshoUnafiki ndio kitu ambacho siwezi fungamana nacho.
Usiogope maishaπ₯ aaah kwahiyo ndo basi tena,, enewei nitakuja na mrejesho
na ushaniogopesha,,we vip bwanUsiogope maisha
Huu ndio mwanzo wa uchokoYani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Mkuu kuwa makini na matapeli πππππ
Ahahah hovyo kabisaMwanaume unajisifia ujinga, ndio shida ya vitoto vilaiini hata kazi havihimili.
Hakuna mwanamke anayependa mwanaume laini hata screw hawezi kufunga!! shame upon you.
Poor Brain dronedrake msaidieni huyu transgender
Tapeli mahiri bichwa komwe sio?Mkuu kuwa makini na matapeli πππππ
Ukijichanganya utalia na kusaga meno anTapeli mahiri bichwa komwe sio?
mbona husemi kuna na ss mabasha nyie ndo tunawala sana 0713Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
πππnimecheka sanaSoon utajisifia una tako laini.
Ahahaha unakula nini wewe..πππmbona husemi kuna na ss mabasha nyie ndo tunawala sana 0713
na mnaongoza kwa kupakuliwa
Hafu we poor brain usije ukawa kama mwenzioAhahaha unakula nini wewe..πππ
πππ Weee hapana mi sina hayo mambo mkuu khaaa...Hafu we poor brain usije ukawa kama mwenzio