Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Hata hao wachuga wakija huko kweni sijui bukoba,mwanza, dar...wataona mnawarushia tu!

Eti uchukue mmeru wa tengeru umpeleke nanjilinji huko ataona kakutanishwa na wehu
[emoji1787][emoji1787]

Kwanini wehu jombaa ?!!

Kwani huko Nanjilinji hakuna wachanja gombaa ?!!

Hakuna wanaokula "mjani" ?!! [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wanaohitaji counseling Ila ndio hivyo wengine kuwarudisha kwenye mstari mtiti utachezea beto
[emoji106]
Mhuni sio mtu....

Wakazi wa Dar...vingunguti wanayajua hayo....

Yaani umlee mtoto vingunguti na matumbi halafu uwe na asilimia 50 za kuwa atakuwa raia mwema ?!! Thubuutuuu [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nipo zangu nimelala kuna mafala yanachezea pikipiki nje unaweza sema alshabab wamevamia hizo baruti
 
Sasa anza kusaga nao gomba watakuelewa na wewe upo kwenye system yao ukiweza wasogezee vichane kadhaa mchanje pamoja
Kuna watu wanafanya hizo mambo "in closets"...iwe shada ,iwe "nyama taksima" kwa kulinda haiba zao na nafasi walizopo....sasa wahuni wanadhani kila aliye na mavazi na mwonekano wa "kistaarabu" ni "mlokole" [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Yes true kabisa ndio nakwambia ajimix nao tu aone km hawajaanza kumpa salamu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…