stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Sasa anza kusaga nao gomba watakuelewa na wewe upo kwenye system yao ukiweza wasogezee vichane kadhaa mchanje pamojaGomba sisagi...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa anza kusaga nao gomba watakuelewa na wewe upo kwenye system yao ukiweza wasogezee vichane kadhaa mchanje pamojaGomba sisagi...!
Mkuu kwani salamu ni Jambo la lazima 😀Wanashindwa kupanua tu bongo zao....
Mbona kuna watu "wanachoma" na huwa "versatile" na kuwaweka watu katika "zones" zao walivyo....[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Hata hao wachuga wakija huko kweni sijui bukoba,mwanza, dar...wataona mnawarushia tu!
Eti uchukue mmeru wa tengeru umpeleke nanjilinji huko ataona kakutanishwa na wehu
[emoji1787][emoji1787]Dawa sio kwamba nachoma nalipua kama mizinga ya Gongo la mboto na bado wapo hivyo aisee.
Mkuu, always unatakiwa kukaa kwenye line yako either akitokea mtu mkawa kwenye line Moja it's okay mnakuwa pamoja.Sasa anza kusaga nao gomba watakuelewa na wewe upo kwenye system yao ukiweza wasogezee vichane kadhaa mchanje pamoja
[emoji106]Wanaohitaji counseling Ila ndio hivyo wengine kuwarudisha kwenye mstari mtiti utachezea beto
Dry OG bob[emoji1787][emoji1787]
"Shada Tomu 5" ?!!
"Dry" ama na "cha mchungwa"?!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa kumbe wewe una principle zako na wao wana principle zao huna haja ya kulaumu mwingineMkuu, always unatakiwa kukaka kwenye line yako either akitokea mtu mkawa kwenye line Moja it's okay mnakuwa pamoja.
Lakini uniambie nilazimishe nyeusi kuwa nyeupe ni ngumu sana aisee...!
Nipo zangu nimelala kuna mafala yanachezea pikipiki nje unaweza sema alshabab wamevamia hizo barutiView attachment 2707633
Kunahitajika PROGRAMU ya dharura kuliokoa hili jiji
Vijana wengi wahuni ni wazawa wa hapa hapa Arusha na matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni tangu wakiwa wadogo, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni wa kunywa pombe kali, kuvuta bangi ama uwe mhalifu.
mapikipiki haya ya wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu,.Bodaboda za kutaftia riziki wanalazimisha ziwe pikipiki za michezo, ukienda kwenye magroup yao haya ya kudandia pikipiki kuna "pumzika kwa amani / rip" nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi, sina shida na matumizi ya vilevi ila wao wanavitumia kupita kiasi.
Makundi ya vijana wengi ni magenge ya vijana wanaoishi bila future, wanafanya vingi bila kujali madhara wala kesho.
Suala la kupigana beto (visu) nalo halipo nyuma, Sime na visu vimekuwa vitu ambavyo vinazidi kuzoeleka kutumika kwenye wizi na mabifu ama ugomvi mitaani, nilikua naangalia clip moja hata msanii wa huko anauvuma kwa sasa Fidovato analalamika vijana wanapigana sana beto.
Wizi nao uljoambatana na kupigwa visu upo sana kuanzia wezi wa bodaboda, tatumzuka, majambazi, n.k.
Ajabu ni kwamba hata polisi ni kama vile wamefumbia jicho ama jitihada wanazofanya ni ndogo sana, ni kama vile wamezila na kujikatia tamaa wamewaacha wenye mji wafanye watachojua wao with little interference
Chuga wanakula sana dry cha mchungwa hawali ndo maana wapo resi sana 😂😂Dry OG bob
Kama ilivyokua huku chuga Kuna watu wanaojiitaa wastaarabu vilevile hata huko nanjilinji wachanja shamba na wachuga watakuwepo pia[emoji1787][emoji1787]
Kwanini wehu jombaa ?!!
Kwani huko Nanjilinji hakuna wachanja gombaa ?!!
Hakuna wanaokula "mjani" ?!! [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
😀😀😀😀😆Nipo zangu nimelala kuna mafala yanachezea pikipiki nje unaweza sema alshabab wamevamia hizo baruti
Kuna watu wanafanya hizo mambo "in closets"...iwe shada ,iwe "nyama taksima" kwa kulinda haiba zao na nafasi walizopo....sasa wahuni wanadhani kila aliye na mavazi na mwonekano wa "kistaarabu" ni "mlokole" [emoji1787][emoji1787]Sasa anza kusaga nao gomba watakuelewa na wewe upo kwenye system yao ukiweza wasogezee vichane kadhaa mchanje pamoja
[emoji1787]Nipo zangu nimelala kuna mafala yanachezea pikipiki nje unaweza sema alshabab wamevamia hizo baruti
[emoji1787][emoji106]Chuga wanakula sana dry cha mchungwa hawali ndo maana wapo resi sana [emoji23][emoji23]
Kwa hiyo principle za kutomsalimia jirani yako unayeishi nae kwenye compound moja ni principle gani hizo aisee...?Sasa kumbe wewe una principle zako na wao wana principle zao huna haja ya kulaumu mwingine
Me sio wa chuga mkuu,ile si kichwa chako kitakavyokueleza ndo itakavyo kuaChuga wanakula sana dry cha mchungwa hawali ndo maana wapo resi sana 😂😂
Well ...Kama ilivyokua huku chuga Kuna watu wanaojiitaa wastaarabu vilevile hata huko nanjilinji wachanja shamba na wachuga watakuwepo pia
Yes true kabisa ndio nakwambia ajimix nao tu aone km hawajaanza kumpa salamu zakeKuna watu wanafanya hizo mambo "in closets"...iwe shada ,iwe "nyama taksima" kwa kulinda haiba zao na nafasi walizopo....sasa wahuni wanadhani kila aliye na mavazi na mwonekano wa "kistaarabu" ni "mlokole" [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app