Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

WAZAZI HOVYO.
DINI HOVYO.
JAMII HOVYO.
VIONGOZI HOVYO.
SELIKALI NDIO HOVYO KABISA.

MAADILI YA TAIFA YAPO WAPI??????
IRPP TANZANIA
 
Kwa Arusha anahitajika kamanda na polisi wake makini sana, plus mahakimu wasiopepesa macho. Ukifika Arusha kwa muda mfupi ukae hotels utadhani ni mji poa. Mji unahitaji rehabilitation ya maana hasa kwa vijana. Things are getting out of control. Serikali iiangalie Arusha kwa jicho la pekee, the sooner the better. Nilipata task ya kukaa mwaka mmoja niliuchukia sana mji wa Arusha, unbearable, kuanzia traffic hygiene hadi udokozi majumbani na ile vijana kujiamlia mambo kinyume na utaratibu tena kwa mob, wakiamua huu mtaa tunaufunga wanaufunga. Makazi pia yamejengwa kiholela ni ngumu kutafuta makazi yenye ustaarabu entirely, lazima machalii wajichomeke kwenye kila settlement. I don't get this psychology ya kuentertain uhuni iliyopo miongoni mwa vijana Arusha!!.
 
MH LEMA ALIWAHI SEMA KAZI YA BODABODA NI LAANA, ALITOA KAULI HIYO HUKO HUKO KANDA YA KASKAZINI.
 
Nikuambie kitu mleta mada hakuna place tuko na umoja kwama chuga sema ukituletea ujuaji unakula beto alafu tunasororia mbele. Auwezi niambia juzi kati tulienda mzika muhuni wetu alafu pasta anasema tunakufa Kama konokono ase.
Alafu kunyanyua tairi za pikipiki ni burudani zetu mbona nyie huko dar mnapakuliwa na wahuni sisi atubongi
FB_IMG_16909955788440841.jpg
 
Kwa Arusha anahitajika kamanda na polisi wake makini sana, plus mahakimu wasiopepesa macho. Ukifika Arusha kwa muda mfupi ukae hotels utadhani ni mji poa. Mji unahitaji rehabilitation ya maana hasa kwa vijana. Things are getting out of control. Serikali iiangalie Arusha kwa jicho la pekee, the sooner the better. Nilipata task ya kukaa mwaka mmoja niliuchukia sana mji wa Arusha, unbearable, kuanzia traffic hygiene hadi udokozi majumbani na ile vijana kujiamlia mambo kinyume na utaratibu tena kwa mob, wakiamua huu mtaa tunaufunga wanaufunga. Makazi pia yamejengwa kiholela ni ngumu kutafuta makazi yenye ustaarabu entirely, lazima machalii wajichomeke kwenye kila settlement. I don't get this psychology ya kuentertain uhuni iliyopo miongoni mwa vijana Arusha!!.
Ni ngumu kamanda wa polisi kubadilisha maadili ya vijana wa eneo hilo,juhudi zinatakiwa zianze kufanywa na wazazi wao.
Kama vijana wanafanya uhalifu na wazazi wanachukulia sawa tu hakuna wa kuja kubadilisha hiyo jamii.
Maana askari wakisema watumie nguvu ya dola wataisha wote halafu itakuwa ni lawama kubwa na hata haki za binadamu wataingilia kati.
 
Back
Top Bottom