sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
- #21
Umewahi kuishi Arusha au unaisikia tu ?Mtu atatokea tu from nowhere aanze kukushambulia bro?
Kuna waporaji wa simu wanatumia visu, wahanga wanajeruhiwa wengine wanafariki, chuo cha uhasibu hapo Njiro kuna mwanafunzi alipigwa sime kisa simu.
hapo mianzink niliwahi pita kuna dogo nilomsikia "yule anti tuliemtaiti ana bahati nimekwaruza, asingetoa simu ningemvuruga maini"