vijana wa Arusha wanapigana kwa visu. Wanaume tunazichapa kavu na maisha yanaendelea

vijana wa Arusha wanapigana kwa visu. Wanaume tunazichapa kavu na maisha yanaendelea

Imagine una mtoto moja kisha anachomwa kisu kwenye ugomvi wa kawaida ambao ungemalizika kwa kuzichapa kavu, utajisikiaje kama baba ?

tuweke visu chini tuzichape kavu
Hata kavu ukitaka zinachapwa sana na bado utakimbia au utakuwa hoi bin taabani
 
Bangi,
Mirungi
Shisha
K vant
Konyagi,l
Ugolo
Ndio wanaweza vijana wa arusha, kupigana hizo nguvu watoe wapi muda wote wamelewa hovyoo.. anayebisha nipo hapa daraja la nduruma aje nimpasue live[emoji125]
Sema hasa uko eneo lipi hapo Nduruma na iliwezekana weka namba ya simu hata PM
 
Mkuu
Arusha kuna masela mavi tu. Ngoja siku nikitimba apo chuga mamaee watanitambua hao wala ugolo
sio kila chalii anakula hayo makitu wengine maidia ya ugaidi yapo kwenye hayo ma blood mtu kazaliwa nayo pure kama merlin

Arusha haina kwere chalii
Kwere unalitafuta wewe
 
Kwanza kitendo cha watu wazima kupigana ni jambo la aibu sana imekaa kihovyohovyo... Ukiniambia amevamiwa sawa ila sio kupigana.
 
Imagine una mtoto moja kisha anachomwa kisu kwenye ugomvi wa kawaida ambao ungemalizika kwa kuzichapa kavu, utajisikiaje kama baba ?

tuweke visu chini tuzichape kavu
Baba hawi na mtoto mmoja.
 
Back
Top Bottom