Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
Kule kulikompoteza rais wenu Chid Benz au kuna nyingine?njooni ilala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kulikompoteza rais wenu Chid Benz au kuna nyingine?njooni ilala
Ww nawe huna akili tu arusha kuna usenge mwingi kuvuta bangi na kula mirungi ugomvi ndio wanaona ujanja kumamayo zenu kenge wajane nyieNdio aache uhuni. Kwani unafikiri mtu anatobolewa hivi hivi? Lazima kuna circumstances zinazopelekea?
Ni ushamba tu mzee bado wanatembea na toyo kwa tair mbili.Ww nawe huna akili tu arusha kuna usenge mwingi kuvuta bangi na kula mirungi ugomvi ndio wanaona ujanja kumamayo zenu kenge wajane nyie
Bangi/Unga/pombe za ajabu ndo matokeo ya hayaNi miendelezo wa matukio ya vijana kupigana kwa visu badala ya kuzichapa kavu.
ARUSHA ifike mahali tunapogombana na kushindwa kujizuia hasira zetu, basi zipigwe kavu, Huu mtindo wa kukimbilia kupigana visu sio kabisa, ni ushamba. Pumzika kwa amani Bennyrick Lamar (pichani kapakizwa kwenye pikipiki baada ya kupigwa kisu)
Mbaya zaidi ni hata vijana wastaarabu wanapigwa visu, kuna vijana wa Arusha wanapenda sana ugomvi hata wa kuutafuta ilimradi tu kuwe na ugomvi, ukijitete unaweza pigwa kisu, hata Marehemu Faza Nelly alikuwa ni mwanamziki wa huko alisifika kea ustaarab wake kuishi vizuri na watu lakini kitendo cha kutaka kusuluhisha ugomvi wa majirani akapigwa kisu na kufariki.
View attachment 2807797
Kwa Arusha utadanganya wakuja chalii, kwa kifupi raia wengi wanatembea na mapanga, visu kwenye gari au bike zao.Ndio aache uhuni. Kwani unafikiri mtu anatobolewa hivi hivi? Lazima kuna circumstances zinazopelekea?
😂😂😂 shem taratibu unanitukania ndugu wa mume ujuemtuyoyote anaeishi arusha namuona nimshamba tuu.
kwanza wakiongea wanarusha mimate hovyo.
Imagine una mtoto moja kisha anachomwa kisu kwenye ugomvi wa kawaida ambao ungemalizika kwa kuzichapa kavu, utajisikiaje kama baba ?
tuweke visu chini tuzichape kavu
Hii imeendaHatutaki kupoteza muda na nguvu ku deal na mawaki. Ukileta uree unakula paru. Tunatoboa airbag chap tunatembea.
No sweat.