sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #21
Umewahi kuishi Arusha au unaisikia tu ?Mtu atatokea tu from nowhere aanze kukushambulia bro?
Wajanja wanaishi wapi wewe kihiyo?mtuyoyote anaeishi arusha namuona nimshamba tuu.
kwanza wakiongea wanarusha mimate hovyo.
Tatizo la vijana wa sasa wanatafuta mabwana kwenye mitandao,hivi nani aliyekuambia kuwa nataka hilo tundu lako chafu??Punguzeni kunywa madadi... Tutakuja kuwasukumia ngumi mpaka mteme ugolo huo.
Nenda kwanza Lugalo kawaambieImagine una mtoto moja kisha anachomwa kisu kwenye ugomvi wa kawaida ambao ungemalizika kwa kuzichapa kavu, utajisikiaje kama baba ?
tuweke visu chini tuzichape kavu
Sa hapo shisha inatafuta nn?Bangi,
Mirungi
Shisha
K vant
Konyagi,l
Ugolo
Ndio wanaweza vijana wa arusha, kupigana hizo nguvu watoe wapi muda wote wamelewa hovyoo.. anayebisha nipo hapa daraja la nduruma aje nimpasue live🏃
Uliwasikia na ukafanyaje wewe kama mtanzania unayeishi Dar na umestaarabika??hapo mianzink niliwahi pita kuna dogo nilomsikia "yule anti tuliemtaiti ana bahati nimekwaruza, asingetoa simu ningemvuruga maini"
Arusha Hakuna Vijana,bali kuna Wadudu.Ni miendelezo wa matukio ya vijana kupigana kwa visu badala ya kuzichapa kavu.
ARUSHA ifike mahali tunapogombana na kushindwa kujizuia hasira zetu, basi zipigwe kavu, Huu mtindo wa kukimbilia kupigana visu sio kabisa, ni ushamba. Pumzika kwa amani Bennyrick Lamar (pichani kapakizwa kwenye pikipiki baada ya kupigwa kisu)
Mbaya zaidi ni hata vijana wastaarabu wanapigwa visu, mtu anajipitia zake mhuni anaanza kumletea pigo sizo kujionyesha ni mbabe, ukijitete unapigwa kisu, hata Marehemu Faza Nelly alikuwa ni mwanamziki wa huko alisifika kea ustaarab wake kuishi vizuri na watu lakini kitendo cha kutaka kusuluhisha ugomvi wa majirani akapigwa kisu na kufariki.
View attachment 2807797
Arusha inawezekana hiyo ipo siku nilipanda Hiace yule konda alimwambia abiria sogea naomba kukaa yule jamaa akamtukana na kumwambia toka lini konda anakaa kwenye siti yule konda alisonya tuu daah alikula ngumi za uso kama tatu hivi ila baadae walipofika Samunge waliita polisi jamaa akawekwa chini ya ulinzi Arusha watu wengi ni wagonvi hata watu wazima kabisaa...Mtu atatokea tu from nowhere aanze kukushambulia bro?
AiseArusha kuna masela mavi tu. Ngoja siku nikitimba apo chuga mamaee watanitambua hao wala ugolo
Kila kifo unakijua kabisa kinapokuja...hii ya lini tena?? apumzike kwa amani aisee. unakufa ukiwa unajua kabisaa hapa ndo nakufaa inasikitisha sana.
Yani unaniuliza kama nimewahi kuishi nyumbani kwetu nilipozaliwa na kukulia arif?Umewahi kuishi Arusha au unaisikia tu ?
Kuna waporaji wa simu wanatumia visu, wahanga wanajeruhiwa wengine wanafariki, chuo cha uhasibu hapo Njiro kuna mwanafunzi alipigwa sime kisa simu.
hapo mianzink niliwahi pita kuna dogo nilomsikia "yule anti tuliemtaiti ana bahati nimekwaruza, asingetoa simu ningemvuruga maini"