Hata kavu ukitaka zinachapwa sana na bado utakimbia au utakuwa hoi bin taabaniImagine una mtoto moja kisha anachomwa kisu kwenye ugomvi wa kawaida ambao ungemalizika kwa kuzichapa kavu, utajisikiaje kama baba ?
tuweke visu chini tuzichape kavu
Sema hasa uko eneo lipi hapo Nduruma na iliwezekana weka namba ya simu hata PMBangi,
Mirungi
Shisha
K vant
Konyagi,l
Ugolo
Ndio wanaweza vijana wa arusha, kupigana hizo nguvu watoe wapi muda wote wamelewa hovyoo.. anayebisha nipo hapa daraja la nduruma aje nimpasue live[emoji125]
Acha Ukuda binti wa Daslammtuyoyote anaeishi arusha namuona nimshamba tuu.
kwanza wakiongea wanarusha mimate hovyo.
Sema utatimba lini na wapi Machalii wakusubiriArusha kuna masela mavi tu. Ngoja siku nikitimba apo chuga mamaee watanitambua hao wala ugolo
Hebu fika Njoro uoneMm mwenyewe nikitoka Nairobi nimechoka naenda kupumzika Moshi ila Arusha ni sehemu ya kisengera sana visu njenjee.
sio kila chalii anakula hayo makitu wengine maidia ya ugaidi yapo kwenye hayo ma blood mtu kazaliwa nayo pure kama merlinArusha kuna masela mavi tu. Ngoja siku nikitimba apo chuga mamaee watanitambua hao wala ugolo
Baba hawi na mtoto mmoja.Imagine una mtoto moja kisha anachomwa kisu kwenye ugomvi wa kawaida ambao ungemalizika kwa kuzichapa kavu, utajisikiaje kama baba ?
tuweke visu chini tuzichape kavu