muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Vijana wa CDNM huko twitani wamerukwa na wazimu, mmekosa ajenda mnaanza kujadili kuhusu ulinzi wa Rais,
mlitaka Rais alindwe na nani tutaacha lini ujinga wa kupinga kila kitu,
wapumbavu wameanza kutaka Mama samia afanye kila anachofanya Rais wa zambia Chilema,
yani Chilema msafara wake ukiwa na gari 10 na wa mama samia iwe hvyo hvyo
huu ni upumbavu
mwenyekiti wa Chama kaokota wapi watu wenye akili ndogo namna hii?
Jeshi na Tiss wanawajibu wa kuhakikisha Taasisi ya uRais inalindwa kwa kadri watakavyoona inafaa
kinacholindwa hapo ni Taaisisi ya Urais maana yake hata samia akitoka kwenye hicho kiti hatalindwa tena hvyo
mmeniudhi sana kwa vi mada uchwara vya kijinga,
tena huo ni msafara na ulinzi mdogo kwa Rais Tiss ongezeni zaidi kwa kadri itakavyofaa
muda si mrefu mtaona wale wadada wanafungua twitter space kujadili msafara wa Rais
mlitaka mlindwe nyie na familia zenu?
asietaka akanywe sumu ya panya
mlitaka Rais alindwe na nani tutaacha lini ujinga wa kupinga kila kitu,
wapumbavu wameanza kutaka Mama samia afanye kila anachofanya Rais wa zambia Chilema,
yani Chilema msafara wake ukiwa na gari 10 na wa mama samia iwe hvyo hvyo
huu ni upumbavu
mwenyekiti wa Chama kaokota wapi watu wenye akili ndogo namna hii?
Jeshi na Tiss wanawajibu wa kuhakikisha Taasisi ya uRais inalindwa kwa kadri watakavyoona inafaa
kinacholindwa hapo ni Taaisisi ya Urais maana yake hata samia akitoka kwenye hicho kiti hatalindwa tena hvyo
mmeniudhi sana kwa vi mada uchwara vya kijinga,
tena huo ni msafara na ulinzi mdogo kwa Rais Tiss ongezeni zaidi kwa kadri itakavyofaa
muda si mrefu mtaona wale wadada wanafungua twitter space kujadili msafara wa Rais
mlitaka mlindwe nyie na familia zenu?
asietaka akanywe sumu ya panya