chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Nimesema sababu namba sabini. Katika mpangilio wa umuhimu.Kwa sasa jamii nyingi zinajuwa umuhimu wa elimu, kwahiyo hoja yake haina uhalisia.
muislamu anaoa kwa elfu 20 mahari unadhani kuna ndoa hapo,ndio maana wanaachana hovyo hovyo
Unaweza kuta sisi ndo wa hovyohovyo!! Kwani kwenye kitabu chetu mahari imeandikwa bei gani?
Harusi za Gharama ni Ulimbukeni tu,Na zenyewe zinavunjika sana tu.
Hapa mi np kwenye mchakato nihamie huko kwenye Wanne(4) ya nn kujibanabana.
Very Interesting...Ndoa ya kiislamu 120,000 inatosha. wakati hiyo hela ni ya mkanda na tai.
Suti shati na kiatu unafunga harusi kumi za kiislamu.
Bajeti ya harusi ya kiislamu.
1. Hina 5000
2.Udi 1500
3.Unga ngano kg 25 kwa ajili ya mandazi.
4.Sukar. Majani ya chai
5.Kukodisha vikombe 5000
6.Pilao. Mchele kg 20
7. Nyama kg 2(huwa hawapendi sana nyama chamsing pilao)
8. Mziki 40,000
9. Makobasi 8,000
10. Kanzu tutaazima kwa shehe juma
Waislamu wanaraha kwenye kuoa.
Kule kwetu uchagan pete sherehe.Wazaz Kuona nyumban kwa mke sherehe. Wazaz Kuona nyumban kwa mume sherehe. Sendoff sherehe. Harusi sherehe. Kuvunja kamati sherehe.
Gharama ndo inafanya wakristo wanachelewa kuoa.
Kuoa bibi nneBahati ipi?
😅😆😁😄😃😀Ushakula daku??
Hivi mbona wale waarabu wanaoa kwa gharama kubwa, mahari zao mh! Halafu ni waislamNadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.
Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.
Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.
Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.
Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Nadhani na wakristo wangetuhusiwa kuachana pia nao divorce rate yao ingekuwa juu.mleta mada, vipi kuhusu divorce rate ya wanandoa waislamu?. ipo juu au chini ya wanandoa wakristo?. jibu please.
Waislam Wana mlango wa kutokea mambo yakiwa mabaya humo ndaniWakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa kikristo hawaoi kama wa kiislam?
Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.
Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakink wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.
Je chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
Mkuu mahari inategemea na jamii ama kipato.Hivi mbona wale waarabu wanaoa kwa gharama kubwa,mahari zao mh!halafu ni waislam
😅😅😅😅Waislam Wana mlango wa kutokea mambo yakiwa mabaya humo ndani
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kasi ya kutengana na kufa kwa ndoa ni ile ile haina cha muislamu au mkristu, chagamoto za ndoa ni zile zile, isipo kua wanawake wa kiislamu wanapenda na kuheshimu sanaa ndoa zao ukilinganisha na wa kuristuNadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.
Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.
Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.
Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.
Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Issue ya gharama ni maamuzi ya mtu binafsi unaweza kufunga ndoa kanisani tu ikawa inatosha bila kwenda fungate, sendoff wala ukumbi, mbona wapo wengi wamefanya simple tu.Marafiki zangu wengi hawaja divorce ni miaka kama minne ivi wakristo gharama tatizo zinawaangusha na process NJ ndefu sijui fungate ,sendoff hata Kwa bible havipo
Labda wakristo wa vijijini
Shida ndoa nyingi za Kikristo zina complications kuanzia kwenye kuoa mpaka kuachana mkichokana.Wakuu nimekaa nikajiuliza kwanini vijana wa kikristo hawaoi kama wa kiislam?
Nina maarafiki wa pande zote ndio maana nimefikia hatua ya kujiuliza kutokana na trend niliyoiona.
Marafiki zangu waislam wengi wameoa na wanaoa lakink wakristo sioni muelekeo wao kuhusu ndoa.
Je chanzo ni nini? Mbona vijana waki-ostaz wanaoa kila kukicha na wagalatia hatuoi? Tunaogopa nini?
Ndoa za kikristo si gharama sema ni uamuzi wa mtu binafsi. Kuna ndoa nyingi na zijua zimefungwa zile misa za saa kumi na mbili asubuhi, mbili kati ya hizo wasimamizi walikuwa wazazi wangu, wamefunga asubuhi misa ya saa 12,saa 12 na nusu washamaliza na kurudi kwenye shughuli zao.Nadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.
Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.
Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.
Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.
Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Mkuu kwa mujibu wa maandiko wanandoa wakristo hakuna kuachana isipokua tu kutengana kwa sababu za uzinzi/kuchepuka tu... na hapo pamoja na kwamba mmetengana huruhusiwi kutoka na mtu mwingine au kuoa mwingine. Condition ya kuoa mwingine ni pale tu mwenzako atakapofariki, basi. Ni hatare sana upande wa christian... Na ndio mana kuna kile kiapo cha ndoa kuwa ' hadi pale kifo kitakapotutenganisha' ...Nadhani hujafikiria Wala hujataka hata kutumia akili za kawaida kwa suala kama Hili.
Vijana wa kiislam inakuwa rahisi kwa kuwa kwanza ndoa sio gharama, lakini pia kuna option ya talaka wakishindwana.
Wakati vijana wa kikristo kwanza gharama ni kubwa ya ndoa/harusi, halafu ni hadi kifo kiwatenganishe.
Kwa hiyo inahitaji mwanaume aamue chaguo sahihi, pia ajipange kukamisha Hilo zoezi.
Na wao wanaachana/tengana ila sio kama waislamu
Huoni kama hyo sheria ni batili haiendani na maumbile ya binadamu kingine haiendani na mabadiliko ya duniaMkuu kwa mujibu wa maandiko wanandoa wakristo hakuna kuachana isipokua tu kutengana kwa sababu za uzinzi/kuchepuka tu... na hapo pamoja na kwamba mmetengana huruhusiwi kutoka na mtu mwingine au kuoa mwingine. Condition ya kuoa mwingine ni pale tu mwenzako atakapofariki, basi. Ni hatare sana upande wa christian... Na ndio mana kuna kile kiapo cha ndoa kuwa ' hadi pale kifo kitakapotutenganisha' ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Ukifuata mafundisho ya dini ya kiislamu bila kuwaiga wachaga na wakristo basi swala la ndoa na msiba wala halina tatizo kila kijana au mzazi wako anaweza kulimudu.
Kwa sisi tulio mijini wachaga ndio wametuletea hii tabia mbovu swala la ndoa kuambatana na uharibifu mkubwa wa pesa kwenye sherehe.
Nimependa hiyo no.9Ndoa ya kiislamu 120,000 inatosha. wakati hiyo hela ni ya mkanda na tai.
Suti shati na kiatu unafunga harusi kumi za kiislamu.
Bajeti ya harusi ya kiislamu.
1. Hina 5000
2.Udi 1500
3.Unga ngano kg 25 kwa ajili ya mandazi.
4.Sukar. Majani ya chai
5.Kukodisha vikombe 5000
6.Pilao. Mchele kg 20
7. Nyama kg 2(huwa hawapendi sana nyama chamsing pilao)
8. Mziki 40,000
9. Makobasi 8,000
10. Kanzu tutaazima kwa shehe juma
Waislamu wanaraha kwenye kuoa.
Kule kwetu uchagan pete sherehe.Wazaz Kuona nyumban kwa mke sherehe. Wazaz Kuona nyumban kwa mume sherehe. Sendoff sherehe. Harusi sherehe. Kuvunja kamati sherehe.
Gharama ndo inafanya wakristo wanachelewa kuoa.