Vijana wa Kiislamu hawaogopi ndoa kama Wakristo

Kasoro sitaku kuzijua... nataka kujua mazuri tu...

Nitatoa 2.5Million
Hapo ndo utawafanya wanyakyusa niwe mtumwa kwao,nisilalamike kidogo watasema mkorofi mwenyewe yaan hata univunje shingo watasema nimejivunja makusudi ili nikusingizie.Hapana kwa kweli toa tu laki 2
 
Wakristu ili uoe lazma uwe umejiona wewe na huyo unaetaka kumuoa u mmekomaa vyakutosha maana mkiingia mmeingia. Ila kwa Waislamu unaweza oa tu utapoona unaweza oa nna unaweza acha unapoona unaitaji kuacha(kutoa talaka)
 
Hapo ndo utawafanya wanyakyusa niwe mtumwa kwao,nisilalamike kidogo watasema mkorofi mwenyewe yaan hata univunje shingo watasema nimejivunja makusudi ili nikusingizie.Hapana kwa kweli toa tu laki 2
Laki2 pesa ya vocha tu hiyo... Hapana ndogo sana...
Million 2.5 sawa...

Kwani wewe una ukorofi...
 
Laki2 pesa ya vocha tu hiyo... Hapana ndogo sana...
Million 2.5 sawa...

Kwani wewe una ukorofi...
Sana...mkorofi sana hasa kiuchumi nikiyumba afu upande wa pili hauna msaada.Ni draaaa....nyumba utahama
 
Sio kweli
 
Kwa kukusahihisha padogo waislamu mahari anataja mwanamke sio wazazi.
Ndugu yangu unanibambikia kosa kisha wataka kusahihisha..

Hakuna sehemu kwenye comment yangu nimesema kwamba mahari ataje mzazi ndugu.

Hata hivyo wazazi sasa hivi ndio wanakaa na binti kumshauri kiasi cha mahari kiwe vipi na hii pia haina ubaya kwa sababu kushauriana katika mambo inajuzu.
 
ndoa sio gharama mkuu gharama ni sherehe na mbwembwe zingine zisizo na maana.
 
Sidhani kama gharama ndo inachelewesha ila nachofikiria kile kipengere cha HADI KIFO ndo kinafanya Vijana wachelewe kuoa, Mtu anafikiria NIKIMUWEKA NDANI HUYU ALAFU AKIZINGUA ILIHALI NDO HADI KIFO!!!!!!
 
Ahsante, jibu lipo clear kabsa
 
Reactions: Luv
Kwa tamaduni ya imani ya kislam, kuna yafuatayo:

1. Dini inamuwajibisha sana mwanamke katika wajibu wake kama mke wa mtu na sio kumpa uhuru wa kuamua anachotaka kwa mujibu wa imani.

2. Kuna Talaka. Wanawake wanaogopa sana mifumo ya uwajibushaji kama talaka sababu wanajua kuwa kuna vitu huwa wanafanya ambavyo kiimani ni kosa ila kama hakuna mfumo wa kuwawajibisha wanakuwa huru kufanya wanachotaka.

3. Ndoa za kiislam ni affordable na very cheap interms of cost but very expensive in Marriage value. Wadada wa kiislam washika dini hawana utamaduni wa kutaka sherehe kubwa ni shughuli au hafla ndogo tu. Na hiyo ni sehemu ya ibada kwao.

4. Procedure za kiimani za kuoa kwa mwislam ni fupi na hazina gharama. Imagine mwanamke anaambiwa yeye ataje mahari yake. Anaweza sema mahari ni msahafu au kitu fulani very cheap.

Ngoja tu niishie hapo
 
So what!!sasa ndoa ni ajira?inaleta tija gani kiuchumi?
Hizi mada nyingine huwa zinaonyesha akili za waafrika wa kada ya chini,badala ya kuwaza kujenga makampuni na kutengeneza ukwasi,wao wanawaza kuoa na ngono,
Bora kuleta mada vikwazo gani vinawazuia wasomi kutengeneza pesa,au si Bora tuwafundishe vijana Sanaa Ili tute geneze matajiri kama mond,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…