Vijana waambiwe ukweli kwamba Uanaume ni Ukakamavu, Uhodari na Ushujaa

Hizo ni sifa za kijinga..........Mwanaume unatakiwa uwe smart kwenye brain + financial stability.......vingine ni blah blah blah tu, ayo ni mambo ya Old skul vibes.

Robert Heriel Mtibeli punguza maneno mengi

Hata Wanawake wanaweza kuwa smart kwenye Brain + financial stability.
Hata mashoga wanaweza kuwa smart kwenye brain + financial stability.

Mwanaume mbali na Akili ni lazima awe Mkakamavu, shupavu, jasiri, hodari na shujaa. Huo ndio uanaume.

Jamii Maskini ndio zinafikiri uanaume ni kuwa na Pesa pekeake,
 
Kama haujui hata mashoga wapo wakakamavu, shupavu na jasiri.
Hata hao wanawake wapo wakakamavu, shupavu na jasiri - ndiyo maana kuna tuzo za mwanamke jasiri na mwenye uthubutu.

Kupitia scenario hiyo basi kusingekuwa na mashoga + wanawake katika idara hizi askari polisi, wanajeshi, makomandoo, magereza n.k

Sio jamii maskini tu, popote uendako lazima uwe na cash plus smarter kwenye brain lasivyo utaangukia pua.
 
Tena mzoefuuu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawah kukuona ila sauti ya ndan kabsa inaniambia wewe ni mwanamke , kamwe sijawah fikr ww ni namna namna kama wadau wanavyodai.
 
Kwel kabsa mkuu mwanaume anatakiwa awe na akili mingi ukakamavu na ujasiri wa kutisha kama simba , wakishindwa wajifunze kwa Bob junior.
 
Kwa hiyo umekubaliana na mimi kwamba kuna mashoga na wanawake wakakamavu.

Nashukuru kwa kuelewa pia kuwa mwanaume bila pesa, unakuwa ni sanamu ya jinsia ya kiume.

Nimashakuambia hakuna Shoga Mkakamavu, labda haujui maana ya ukakamavu, ushupavu, ushujaa na uhodari.

Ushamba na ukosefu WA Elimu ndio utaliona uone bila Pesa MTU ni sanamu.

Pesa imekuja miaka ya hivi karibuni, hao waliokuwa wanaishi zamani walikuwa masanamu?

Sio ajabu nawe Una shahada lakini mambo madogo kama haya yanakupiga chenga.
 
Face to face, Glock at my hand, one shot and you are no more fag. peeps need to clean the world against the people of your behavior. very stupid.
So what??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitoto cha shetan kazini[emoji23],yaani ww katoto ka farao ukisikia mada imegusia tu kukemea mambo yanayohusu mtu kuwa choko utakuja mbio kutetea!!!
 
Hii tuna print tunaweka ndani kusaidia hiki kizazi chetu, mtoto wa kiume akiwa anasoma anajua mimi ni mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…