Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Watu wanahamisha kazi za temesa. Tanroad ishindikane TBS. Ndugu na hapo unasema unawajua hawa jamaa.Jaribu na wewe kama rahisi.
Hauleweki hata kidogo mara kuacha kazi then tena eti kufukuzwa kazi hauleweki!Hawa vijana iwe chachu ya kuigwa kwa vijana wengine. Vijana Hawa wanaosemekana kufukuzwa wana kampuni yao ya CALIBRATIONS, TESTING pamoja na Automations watu tuliopo kwenye constructions industry tunawaona sana. Na bahati nzurii kampuni yao ipo accredited inaruhusiwa kufanya kazi nchi yeyote Ile.
Kipindi wazee wamejazana TBS wakiogopa kustaafu, vijana hawa wameacha kazi kwenye shirika kubwa na kwenda kujiajiri.
Kampuni yao inaitwa CALTES COMPANY LTD.
Hongereni vijana kwa kuachia vijana nafasi, na wazee & vijana wengine waige mfano wa hawa.
Nawapongeza kwa jambo walilofanya. Maana Tenda nzima ya EACOP tumewapa wao kufanya calibrations na testing za vifaa vyote vinavyohitajika. Maana tulikua tukienda TBS tunaona urasimu uliopo.Kwa hiyo kufukuzwa kazi kwa utovu wa nidhamu na kuihujumu TBS ndo ujanja? Wangekuwa waadilifu wangeacha kazi kwa kufuata utaratibu na kwenda kufungua kampuni yao. Ila kufukuzwa imejaa ukakasi. Ni suala la muda tu kabla hawajaanza kuhujumiana wenyewe kwa wenyewe na kujivuruga. Hao vijana ni wahujumu na mafisadi.
Sasa malamba mawili ndio makabe?.Watu wanahamisha kazi za temesa. Tanroad ishindikane TBS. Ndugu na hapo unasema unawajua hawa jamaa.
Ona hujui hata kinachoendelea. Hawa jamaa wana ofisi Makabe road, njia ya kibozone au kinyerezi mmezoea kuita malamba mawili. Jamaa unaonekana unapenda sana ubishi.
Jamaa wewe mbishi, sipendi kabisa watu wa hivo. Ile ni makabe road malamba mawili ni eneo moja wapo la njia ile,Sasa malamba mawili ndio makabe?.
Bidhaa atengeneze mzungu, mhindi au mchina halafu ubora unakuja kupima mshenzi mmoja usiyejua kutengeneza hata toothpickHawa vijana iwe chachu ya kuigwa kwa vijana wengine. Vijana Hawa wanaosemekana kufukuzwa wana kampuni yao ya CALIBRATIONS, TESTING pamoja na Automations watu tuliopo kwenye constructions industry tunawaona sana. Na bahati nzurii kampuni yao ipo accredited inaruhusiwa kufanya kazi nchi yeyote Ile.
Kipindi wazee wamejazana TBS wakiogopa kustaafu, vijana hawa wameacha kazi kwenye shirika kubwa na kwenda kujiajiri.
Kampuni yao inaitwa CALTES COMPANY LTD.
Hongereni vijana kwa kuachia vijana nafasi, na wazee & vijana wengine waige mfano wa hawa.
Walifukuzwa bwana! Kwani hizo picha zao 3 zinasemaje?hakuna mahala niliposema wamefukuzwa, "wanaosemekana kufukuzwa" pia mm nipo kwenye industry ya constructions nakutana nao sana Tangu 2020 wakiwa wanafanya kazi kama walizokua wanafanya TBS lakini kwenye kampuni yao. Kwahio nawasifu kwa kujiongeza.
Caltes Company LTD.
Caltes Company Limited is a Tanzanian private company registered in 2018 as a business name and in 2020 become a Limited Company, established by experts in Metrology with years of experience in Measurement Science. The establishment of Caltes Company Limited intends to service Manufacturing and...caltes.co.tz