Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Tangu nihitimu nimekuwa mtu wa kujitolea pasipo kupewa hata sumuni ila Mungu kanishika mkono na sasa nimeanzisha mradi wangu wa kuuza dagaa wabichi kutoka bukoba.

Ni mwezi mmoja tangu nianze kazi hii ila ugeni katika biashara siwezi sema ni biashara mbaya kimasilahi ila inalipa, Nipo Arusha kwa yeyote atakayetaka dagaa nitamletea popote na maeneo jirani.....Dagaa ni wazuri sana Hawana mchanga......


Kwa biashara nitafute kwa namba hii....069240789.....

Tusisubiri ajira..... Kidogo huleta kikubwa
 
Nakupongeza, umechukua uamuzi wa maana sana! Ninachokushauri usibweteke na faida utakayoipata, wekeza zaidi na zaidi, tanua biashara mpaka umiliki vitega uchumi vikubwa vitakavyokuhakikishia mapato ya uhakika katika maisha yako yote.
 
Hongera mkuu! Pole pole ndio mwendo. After five years hautokuwepo hapo. Tofauti na mtu anayepokea milioni moja sasa, baada ya miaka mitano kwa increment ya 10, hata mshahara wa M1.5 atakuwa bado hajavuka...
 
Nakupongeza, umechukua uamuzi wa maana sana! Ninachokushauri usibweteke na faida utakayoipata, wekeza zaidi na zaidi, tanua biashara mpaka umiliki vitega uchumi vikubwa vitakavyokuhakikishia mapato ya uhakika katika maisha yako yote.

Naam!! Najua mwanzo ni mgumu ila nitabidi mimi niwe mgumu zaidi ya mwanzo wenyew
 
Nichumu Nibebike said:
Hongera mkuu! Pole pole ndio mwendo. After five years hautokuwepo hapo. Tofauti na mtu anayepokea milioni moja sasa, baada ya miaka mitano kwa increment ya 10, hata mshahara wa M1.5 atakuwa bado hajavuka...
Uyasemayo ni kweli kikubwa ni malengo tu mkuu
 
Big up kamanda, nikirudi chuga ntakuungisha, nimesha subscribe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…