mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Sio kweli, unatakiwa uangalie kama unapenda sio bikraUkweli ni kwamba yeah namsahau. Sina kitakachonifanya nimkumbuke ila mwanamke yuko tofauti na sisi bro, hawasahau wale. Wanakumbuka Yale maumivu na furaha.
Ipoje mkuu wakati mi nimeshaambiwa sana.Story za kwamba atakusahau sijui hatokusahau ni story za utoto..
Kiuhalisia haipo hivo.. mnadanganyana 🤓🤓🤓
Sikia mkuu, mi yashanitokea, siandiki stori za vijiweni .Sio kweli, unatakiwa uangalie kama unapenda sio bikra
Mapenzi yana override kila kitu
Shauri yenu
Ndo mi nakupanga sasa kiuhalisia haipo hivo...Ipoje mkuu wakati mi nimeshaambiwa sana.
🤣🤣🤣Iweje nilipishwe mahari wakati sijapita peke yangu?
Nakisia tu upo age flan hivi...Sikia mkuu, mi yashanitokea, siandiki stori za vijiweni .
Kwa sababu mwanamke anaolewa. Faida ya bikra inaonesha value for bride price.Ni nini hasa faida ya hiyo bikra?
Na kama ipo, kwanini isisitizwe kwa wanawake tu?
Na zipo ndoa mwanamke kaolewa hana bikra, na zimetuliaSikia mkuu, mi yashanitokea, siandiki stori za vijiweni .
Anakumbuka kweli kabisa.Ndo mi nakupanga sasa kiuhalisia haipo hivo...
Kama uliyembikiri anasema anakukumbuka jua kakuchukulia zuzu kweli an.. hizo story za watoto
🤓🤓🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌 sawa sawaAnakumbuka kweli kabisa.
Labda kama alikuwa hajaridhishwa kitandani. Ila kama mtu alikuwa anapiga mzigo noma, lazima ukumbukwe.Na zipo ndoa mwanamke kaolewa hana bikra, na zimetulia
Nazo sio stori za vijiweni
Na nani atakubali kusema 20...Mawazo ya hovyo haya🤣🤣 najaribu kufikiria, kuna wanaume watatoa mahari kidogo sana. Imagine katembea na 20 na wewe umetajiwa mahari 2m, ukigawa hapo utatoa laki yako unasema na mke🤣
Hatari sana mkuu.🤓🤓🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌 sawa sawa
Ndo mana nasema miakili mingi
Ndiyo tatizo la kutohudhuria vikao, mbona huu mjadala tulishakubaliana kitambo tu. Maana italipwa kwa Mwanamke ambaye umemkuta akiwa na bikra pekee, hawa wengine hakuna kufanya huo upuuzi.Kwa maisha sasa mwanaume kulipishwa mahari ni utapeli wa wazi wazi kabisa kwa sababu wanawake wa leo hawana sifa walizokua nazo wanawake wa jamii ya zamani kipindi ambacho uliwekwa huu utaratibu wa kutoa mahari.
Tunaposema mahari ni shukrani kwa kutunziwa mke maana yake unapewa binti akiwa bado kigoli ambae hajaguswa yaani unaenda kuizindua mbususu wewe mwenyewe maana tukisema matunzo kama kusoma, mavazi, chakula n.k hayo hata mtoto wa kiume anatakiwa kupewa pia.
Iweje nilipishwe mahari wakati sijapita peke yangu? This is unacceptable. Wakati wa ku-negotiate mahari mwanamke aweke wazi wanaume aliotembea nao na mahari igawanywe kulingana na muda ambao walikaa katika mahusiano na kila mwanaume husika.
Shauri yako,Labda kama alikuwa hajaridhishwa kitandani. Ila kama mtu alikuwa anapiga mzigo noma, lazima ukumbukwe.
🤣🤣🤣🤣Hapana kama hana mimba mahari apewe ila ndogo .Ndiyo tatizo la kutohudhuria vikao, mbona huu mjadala tulishakubaliana kitambo tu. Maana italipwa kwa Mwanamke ambaye umemkuta akiwa na bikra pekee, hawa wengine hakuna kufanya huo upuuzi.
Kwanini?Shauri yako,