Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Mawazo ya hovyo haya🤣🤣 najaribu kufikiria, kuna wanaume watatoa mahari kidogo sana. Imagine katembea na 20 na wewe umetajiwa mahari 2m, ukigawa hapo utatoa laki yako unasema na mke🤣
 
Mawazo ya hovyo haya🤣🤣 najaribu kufikiria, kuna wanaume watatoa mahari kidogo sana. Imagine katembea na 20 na wewe umetajiwa mahari 2m, ukigawa hapo utatoa laki yako unasema na mke🤣
Na nani atakubali kusema 20...
Kwa kawaida ni less than 3 hapo
 
Kwa maisha sasa mwanaume kulipishwa mahari ni utapeli wa wazi wazi kabisa kwa sababu wanawake wa leo hawana sifa walizokua nazo wanawake wa jamii ya zamani kipindi ambacho uliwekwa huu utaratibu wa kutoa mahari.

Tunaposema mahari ni shukrani kwa kutunziwa mke maana yake unapewa binti akiwa bado kigoli ambae hajaguswa yaani unaenda kuizindua mbususu wewe mwenyewe maana tukisema matunzo kama kusoma, mavazi, chakula n.k hayo hata mtoto wa kiume anatakiwa kupewa pia.

Iweje nilipishwe mahari wakati sijapita peke yangu? This is unacceptable. Wakati wa ku-negotiate mahari mwanamke aweke wazi wanaume aliotembea nao na mahari igawanywe kulingana na muda ambao walikaa katika mahusiano na kila mwanaume husika.
Ndiyo tatizo la kutohudhuria vikao, mbona huu mjadala tulishakubaliana kitambo tu. Maana italipwa kwa Mwanamke ambaye umemkuta akiwa na bikra pekee, hawa wengine hakuna kufanya huo upuuzi.
 
Ndiyo tatizo la kutohudhuria vikao, mbona huu mjadala tulishakubaliana kitambo tu. Maana italipwa kwa Mwanamke ambaye umemkuta akiwa na bikra pekee, hawa wengine hakuna kufanya huo upuuzi.
🤣🤣🤣🤣Hapana kama hana mimba mahari apewe ila ndogo .
 
Unalipa mahari millioni 5, Halafu kuna muhuni alitoa Bikra kwa Chipsi kavu za jero na soda ya mia sita.

Huu ni utapeli kabisa.
 
Back
Top Bottom